Waalimu mnakera sana!

Ni kwei mkuu hawa walimu wa siku hizi ni vilaza sana ndo maana watoto wetu wamekua waeledi sana kwa sababu tunawafundisha wenyewe nyumbani
 
Really idiotic comment,come again with something positive may be you can be understood
The one who care about positives can't write fucking stupidity post publicly and trying to expect good replies from mentally well being people.The ones who support u are the ones who complete the sequence of negatives plus u.Expect negatives lad otherwise just behave the same way.
 
No point there come with arguments
 
Unaishi kwa kukariri that's why
Background hata nzi anayo bado sio kigezo. What matters ni uwezo wa kuibua hoja na kuisimamia
Kwa utaratibu huu nimegundua ninyi wenyewe ndio adui wa maisha yenu wenyewe
 
Mkuu hapana bwana huyu mtu amesema kwenye matumizi yake ni mishahara ya mwalimu ya miezi 12 so utakua una chuki binafsi nae hii sio profile yake
 
Mkuu hapana bwana huyu mtu amesema kwenye matumizi yake ni mishahara ya mwalimu ya miezi 12 so utakua una chuki binafsi nae hii sio profile yake
Yaan mkuu sijakuelewa hata kdg, profile si hio inajieleza na thread yake kuhusu km analalamikia ajira si ipo hapo inajieleza. usimtetee mkuu, utaanza kunipa mashaka
 
Unaishi kwa kukariri that's why
Background hata nzi anayo bado sio kigezo. What matters ni uwezo wa kuibua hoja na kuisimamia
Kwa utaratibu huu nimegundua ninyi wenyewe ndio adui wa maisha yenu wenyewe
Mzee wewe huna lolote, n mhanga wa walimu wasio na ajira, tafta kazi tuu JF hawana suruhisho la matatzo yakoo ya chuki, nyie ndo mnaofundisha wanafunzi kujitoa mhanga
 
Continue wasting your time by searching nonsense !!!
I know you have come to the end of your thinking scope
 
Continue wasting your time by searching nonsense !!!
I know you have come to the end of your thinking scope
Kiswahili unaelewa vizuri sana ndo mana ukakitumia kuandikia post mwalimu, kafundishe hata buree
 
Heshima toa! Shikamoo mwalim? Unamaanisha walimu hawa wanaoheshimika? 1. Swala LA majungu kazini kama wewe so mwalimu huo pia ni wivu na kama ni mke wa mwalimu huo pia ni umbea. 2. Kuhusu kutumia pesa zao kwa kula na kuvaa huo pia ni wivu.3 Kuhusu kudharau wanakijiji hilo ni tatizo LA mwalimu binafsi na si wote ni kosa kutaja walimu wote ingekuwa hivyo kijiji ingekuwa vita ni vita mura baina ya wanakijiji na walimu
 
Wewe lazm nilale mbele na ww mana nimeona unachuki binafsi, Huu uzi wako utaujutia
 

Kula tano mzee wa fitina, kweli fitina unaijua
 
Kula tano mzee wa fitina, kweli fitina unaijua
kweli kazi ipo
You are welcome!!
Nahisi ni vyema mwalimu hata kama kahitimu chuo vizuri apimwe akili wakianza na wewe mkuu utakuwa na tatizo upstairs
 
Tusipovaa tukapendeza utakuja na uzi mwingine kuwa walimu siyo nadhifu na hawaendani na taaluma yao.

Ebu tuache mkuu.
 
Mtoa post povu limekutoka utakuwa kuna mwalimu umemtongoza kakukatalia
. achakuwadharau walimu. Kitendo cha kuwadharau walimu hakijawahi kumuacha mtu salama
Hahaha itakuwa kweli! Atafute mbinu mpya.
 
Acha dharau 'kolo'wewee!
 
Ukifika town nitakuwa maeneo ya nmb ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…