Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tunapoteza muda mwingi kujadili mambo yasiyo na maana, huko Bongo sasa ishu ni Obama, moto unawaka wanajadili kwa nini Obama ambaye alitua Mbugani kutalii hakukutana na Raisi wetu, kana kwamba hilo ni jambo muhimu sana kuliko yote.
Wanashindwa kutofautisha safari ya kikazi ya Obama nchini Kenya na ile ya holiday Serengeti, by the way average IQ kwetu sub saharan Afrika ni 71 vs 80 rest of the World, kama ulikuwa unatafuta sababu umeipata sasa, ...
Wanashindwa kutofautisha safari ya kikazi ya Obama nchini Kenya na ile ya holiday Serengeti, by the way average IQ kwetu sub saharan Afrika ni 71 vs 80 rest of the World, kama ulikuwa unatafuta sababu umeipata sasa, ...