John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,029
MZUNGU MMOJA MTAFITI ALIWAHI KUSEMA KUWA,LASIRIMALI ZA TZ NI ZAIDI YA UTAJIRI WA U S A KAMA ZITAUZWA.Ndugu zangu swali ambalo wengi sana tunaji uliza pasipo majibu na kila siku hali inakuwa ngumu.Lasirimali zetu zipo kwa ajili gani au nani anasubiliwa ?.
WAHESHIMIWA NALETA MADA MEZANI TUJADILI
WAHESHIMIWA NALETA MADA MEZANI TUJADILI