Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,617
- 3,718
Mchachango wa Oscar kambona ktk Taifa letu ni mkubwa sana lakini inastajabisha kuona mtu huyu hakumbukwi kwa lolote lile hakuna hata mradi uliopewa jina lake !? , kwakweli Jasho la huyu mtu kulipigania Taifa hili limedhulumiwa
anamchango mkubwa wa kupigania mfumo wa vyama vingi katika nchi hii na ndio sababu ya kumletea uadui
anamchango mkubwa wa kupigania mfumo wa vyama vingi katika nchi hii na ndio sababu ya kumletea uadui