Miguel255
Member
- May 13, 2020
- 35
- 113
Sio mama samia tu na mwingine atakayekuja atapata tabu sana kuliongoza TAIFA 🇹🇿 kwa sababu Magufuli amewaonesha watanzania kwamba inawezekana kuyafanya mambo mengi makubwa ndani ya taifa, tena ni mambo ambayo watanzania hawakuwahi kuyawaza kwamba yanawezekana
MAGUFULI amewaamsha wananchi
MAGUFULI ndo chanzo cha kujitambua
MAGUFULI amewafanya wananchi waamini kwamba TANZANIA 🇹🇿 ile ya ndotoni inawezekana in real life
Hapa wa kulaumiwa ni MAGUFULI sio Larry madowo,,sio Kigogo Kigogo,,sio nuru vazi,,sio Rachel dangwa,,sio Maria sarungi tsehai,,sio captain TESHA,,sio tundulisu,,sio heche,,sio HUYU HAPA ,,sio sativa,,sio ROMA mkatoliki Wala sio KANISA LA ROMA,,sio gwajima etc
Lawama zote ziende kwa MAGUFULI kwa nini amewaamsha waliolala 😴😴😴😴,,hii ndo ileeeeeeeeeee
Usimuamshe aliolala ukimuamsha utalala weweeeeee 😁😁😁
Imeandikwa na Strager Jr
MAGUFULI amewaamsha wananchi
MAGUFULI ndo chanzo cha kujitambua
MAGUFULI amewafanya wananchi waamini kwamba TANZANIA 🇹🇿 ile ya ndotoni inawezekana in real life
Hapa wa kulaumiwa ni MAGUFULI sio Larry madowo,,sio Kigogo Kigogo,,sio nuru vazi,,sio Rachel dangwa,,sio Maria sarungi tsehai,,sio captain TESHA,,sio tundulisu,,sio heche,,sio HUYU HAPA ,,sio sativa,,sio ROMA mkatoliki Wala sio KANISA LA ROMA,,sio gwajima etc
Lawama zote ziende kwa MAGUFULI kwa nini amewaamsha waliolala 😴😴😴😴,,hii ndo ileeeeeeeeeee
Usimuamshe aliolala ukimuamsha utalala weweeeeee 😁😁😁
Imeandikwa na Strager Jr