Vyuo vya Uandishi wa Habari - DSM

Vyuo vya Uandishi wa Habari - DSM

tricky

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
108
Reaction score
32
Msaada kwa anayefahamu vyuo vya uandishi wa habari vinavyopatikana jijini Dar es Salaam kwa ngazi ya cheti.

Kwa anayejua naomba anitajie.
 
Time school school of journalism (TSj) near DSJ then kuna Royal college. Pamoja na MSJ kazi ni kwako
 
Time school school of journalism (TSj) near DSJ then kuna Royal college. Pamoja na MSJ kazi ni kwako

Take it From Me Hakuna Chuo bora ktk Hivyo Tajwa bali Kama Unataka Kusoma na Kupata Ujuzi wa Kutosha basi Nenda Chuo cha A3 Kipo Karibu na Jengo La Umoja wa Vijana. Zingatia Sana Ushauri Wangu Huo Kwani Nina Uhakika na Nilichokisema. Aisifiae Mvua........................................ Ujue Imemnyeshea Kazi Kwako. Kuna Principle wa Chuo Kimoja Tajwa hapo Yeye Masaa Yote Ofisini Utamkuta Yupo tu Facebook na Kupiga tu Simu Kwa Watoto wa Kike na Kuwatongoza, Kulala Nao na Kuwapa Marks za Bure na Kutoa Vyeti Vya Kimagumashi na Hana Ubunifu wa Kukiboresha Chuo.
 
Dar es salaam city college kibamba

Hiki Ndiyo Bomu Kabisa Usithubutu Kwani Hakifuati hata Mtaala wa CBET wa NACTE Kwa Kushirikiana na MCT na Principle Wake ni Bogus Kabisa. Walimu Wanalipwa Tsh Laki 1 na Nusu na Wanaweza Wasilipwe hata ndani Ya Miezi 3 Unategemea Hapo Kuna Elimu Bora? Narudia Tena Nenda Chuo Cha A3 tu!
 
Take it From Me Hakuna Chuo bora ktk Hivyo Tajwa bali Kama Unataka Kusoma na Kupata Ujuzi wa Kutosha basi Nenda Chuo cha A3 Kipo Karibu na Jengo La Umoja wa Vijana. Zingatia Sana Ushauri Wangu Huo Kwani Nina Uhakika na Nilichokisema. Aisifiae Mvua........................................ Ujue Imemnyeshea Kazi Kwako. Kuna Principle wa Chuo Kimoja Tajwa hapo Yeye Masaa Yote Ofisini Utamkuta Yupo tu Facebook na Kupiga tu Simu Kwa Watoto wa Kike na Kuwatongoza, Kulala Nao na Kuwapa Marks za Bure na Kutoa Vyeti Vya Kimagumashi na Hana Ubunifu wa Kukiboresha Chuo.

Hiki nd'o kile kilichopo karibu na Fire?
 
hebu nenda pale BASATA ilala bungoni watakufahamisha kipo chuo pale

kwingine TSJ kijitonyama dar es salaam
Msaada kwa anayefahamu vyuo vya uandishi wa habari vinavyopatikana jijini Dar es Salaam kwa ngazi ya cheti.

Kwa anayejua naomba anitajie.
 
Hiki nd'o kile kilichopo karibu na Fire?

Swadakta ila Kipo Mkabala Sana na Jengo La Umoja Wa Vijana Wa Chama chetu cha Mtaa wa Lumumba. Vingine Vyote Kwa Sasa Vimekuwa Ni Vya Kimagumashi Zaidi na Matokeo Yake Ndiyo Aina Ya Waandishi Wa Habari Wa Redio, Magazeti na Runinga Mbumbumbu Tulionao Leo. Hakika Ni Kichefuchefu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
dsj ndo huakika ila pole kwa kuingia kwenye fani hiyo wenzio mwaka wa nne hatujaajiliwa tupo tuuu ila kazi tuna wapigia fresh unapozwa na hela za mikutano au boss ajisikie.
 
Ushauri wangu soma TSJ mimi nimesoma hapo ni bonge la chuo. Ila kama kuna kingine umekipenda hakikisha kimesajiliwa na idara ya habari maelezo wanakitambua coz kuna vingine hawavitambui so inakuja kusumbua wakati wa kupata kazi japo kuwa ajira za ck hizi wanataka experience au kujuana kwingi.
 
Dar es salaam School of Journalism
DSJ

Hakuna Chuo hapo tena na Ni Takataka na Upuuzi Mtupu na Kwa Hakikisho Zaidi Nenda NACTE na MCT Uone Malalamiko Lukuki Ya Hicho Chuo Utashangaa na Kimebaki Jina Tu Japo Kimetoa Waandishi wa Habari Mahiri ila Ni Huko Nyuma Lakini Kwa Miaka Miwili Iliyopita Chuo Tajwa Hapo Juu Kimeshuka Hadhi na Kinatia Aibu na Walimu Wake Kutwa Wako ktk Migomo na Mgogoro na Mmiliki Wake na Hata Mishahara Yenyewe Wanalipwa Kwa Matatizo na Habari Nilizozipata ni Kwamba Kimekimbiwa na Walimu Wake Mahiri na Wenye Vipaji na Wito Kama Mwalimu Yusto Santipa, Mwalimu Frank Kimota Mtaalam wa Tv Production, Mwalimu Victor Msambusi Mtaalam Wa Communication Skills na Media Management na Mwalimu Patrice Marwa Mtaalam Wa News Writing, Radio Broadcasting na Public Relations. Walimu Waliopo Hawana Ujuzi Wala Uzoefu na Wanafundisha Kisanii Sanii tu Kwa Mfano Kuna Mmoja Nasikia Akifundisha Ana Google ktk Simu Yake Kisha Ndipo Anawaandikia Ubaoni....................... Kazi Ipo!!!!!!!! Na Matatizo Ya DSJ Ndiyo hayo hayo Ya Chuo chao Hasimu na Jirani Cha TSJ, Royal, Daystar na Kile Cha Msanii na Mtoto wa Mjini Mziray Kiitwacho DACICO. Kama Upo Serious Unataka Kwenda ktk Competent Journalism College Nakushauri Nenda Chuo Cha A3 Otherwise Ukienda Hivyo Vingine UTASOMESHWA tu ila HUTAFUNDISHIKA. Kazi Kwako!
 
dsj ndo huakika ila pole kwa kuingia kwenye fani hiyo wenzio mwaka wa nne hatujaajiliwa tupo tuuu ila kazi tuna wapigia fresh unapozwa na hela za mikutano au boss ajisikie.

Acha Kumpoteza Mwenzako. Sasa Kama Wewe Umesoma Hapo na Sasa Ni Mwaka wa 4 Huna Ajira Na Unaishia tu Kutunga Stori, Kupiga Soga Za Kimbea na Kimajungu hapo Idara Ya Habari na Maelezo na Umekuwa Ni Mtu tu wa Kupokea Posho za ktk Press Conferences na Rushwa Ambayo ni Matokeo Ya Ubovu Ya Hicho Chuo Je Unategeme Huyu Uliyemshauri Atafanikiwa? Acha Unafiki na Mshauri Mwenzako Vizuri ili Asipoteze Pesa Yake. Chuo Masaa Yote Wanafunzi Wanapiga Tu Soga na Umbea na Wanashindana Kuvaa Nguo na Kuibiana Mabwana Huku Wakihonga Miili Yao ili Wapate Alama Nzuri na GPA iwe Bora na Hadi Wengine Wananunua Vyeti na Tukikutana Nao Huku Mjini Wanatamba tu? Narudia tena Acha Kumpoteza Mwenziyo.
 
Ushauri wangu soma TSJ mimi nimesoma hapo ni bonge la chuo. Ila kama kuna kingine umekipenda hakikisha kimesajiliwa na idara ya habari maelezo wanakitambua coz kuna vingine hawavitambui so inakuja kusumbua wakati wa kupata kazi japo kuwa ajira za ck hizi wanataka experience au kujuana kwingi.

Yale Yale Takataka Tupu...................... Kwenda TSJ au DSJ Ni Sawa na Kutoka ktk AFADHALI na Kwenda kwenye POTELEA MBALI na Hivyo Vyuo Ni Kama NYANI na NGEDERE. Total Rubbish Indeed!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hakuna Chuo hapo tena na Ni Takataka na Upuuzi Mtupu na Kwa Hakikisho Zaidi Nenda NACTE na MCT Uone Malalamiko Lukuki Ya Hicho Chuo Utashangaa na Kimebaki Jina Tu Japo Kimetoa Waandishi wa Habari Mahiri ila Ni Huko Nyuma Lakini Kwa Miaka Miwili Iliyopita Chuo Tajwa Hapo Juu Kimeshuka Hadhi na Kinatia Aibu na Walimu Wake Kutwa Wako ktk Migomo na Mgogoro na Mmiliki Wake na Hata Mishahara Yenyewe Wanalipwa Kwa Matatizo na Habari Nilizozipata ni Kwamba Kimekimbiwa na Walimu Wake Mahiri na Wenye Vipaji na Wito Kama Mwalimu Yusto Santipa, Mwalimu Frank Kimota Mtaalam wa Tv Production, Mwalimu Victor Msambusi Mtaalam Wa Communication Skills na Media Management na Mwalimu Patrice Marwa Mtaalam Wa News Writing, Radio Broadcasting na Public Relations. Walimu Waliopo Hawana Ujuzi Wala Uzoefu na Wanafundisha Kisanii Sanii tu Kwa Mfano Kuna Mmoja Nasikia Akifundisha Ana Google ktk Simu Yake Kisha Ndipo Anawaandikia Ubaoni....................... Kazi Ipo!!!!!!!! Na Matatizo Ya DSJ Ndiyo hayo hayo Ya Chuo chao Hasimu na Jirani Cha TSJ, Royal, Daystar na Kile Cha Msanii na Mtoto wa Mjini Mziray Kiitwacho DACICO. Kama Upo Serious Unataka Kwenda ktk Competent Journalism College Nakushauri Nenda Chuo Cha A3 Otherwise Ukienda Hivyo Vingine UTASOMESH Na ndio chuo pekee kilichopata cheti cha kusomesha fani hiyo kutoka MCT mara baada ya ukaguzi, lakini vyuo tajwa hapo juu vyote havikukidhi vigezo na hatimae MCT ilivipa muda vyuo hivyo kutimiza vigezo tagu mwisho wa mwaka jana otherwise vitazuiliwa kutoa huduma ya habari. A3 ndio mpango mzima.
 
Back
Top Bottom