Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

Jaribu kutuloza akili na kutafakari kile mtu anachoandika. Nimeona uhalali wa kujadili mada coz hata Mimi sikujua kuwa vyuo vyetu havitoi shahada ya sheria, na ulikuwa na haki ya kuleta mada hii ili kupata ufahamu. Tatizo linakuja pale unapokuja kwa dhumuni la kukebehi na kuchokonoa zaidi ya kutaka kujua, huku ukilazimisha majibu unayohitaji ujibiwe. Unapewa links usome lakini bado unahitaji ligi kwa kuhoji what seems pretty obvious.

Hiyo ndio sababu ya mimi kuhoji na si linginw

Kwenye post yako sio tu uliona inawezekana jambo hilo likawa la kweli bali uliona kutokuwepo kwa somo hili ni kitu cha kushangaza na ulishangaa

Nimesema na ninasema kuwa baada ya kugundua kuwa ni kweli kuna vyuo vinafundisha imeonekana havina muda mrefu tangu vianze kufanya hivyo,sasa ni kitu gani kilikuwa kinafanya somo hilo lisiwepo kabla?
Na kitu gani kimefanya somo hilo limewekwa sasa?

Nimekebehi wapi?
Nimechokonoa wapi/nini?

Nimelazimisha wapi majibu?
 
Kwanza ni kweli vyuo vyenu vilikuwa havitou hiyo degree

Halafu kikubwa zaidi ukisoma post za Wasabato utagundua kuwa wapo ambao walikuwa hawajui jambo hili na kuna wengine wanalijua

Pia inaonekana degree hii imeanza kutolewa nyakati hizi

Kwasababu hizo hapo juu mada hii imeleta manufaa kwenu na kwa wale ambao sio wasabato,lakini kikubwa ni kuwa bado hamjasema ni kwanini hamkuwa mnafundisha sheria kwenye vyuo vyenu

Kimsingi sijakurupuka ila wewe ndio umekurupuka!

We utakua na lako jambo
 

Maana , kuna mtu hapo nyuma , kaanza kuelekeza kuwa lengo LA kwanza la Ku establish Adventist Universities lilikua lipi
Halafu kutokana na kupanuka kwa mahitaji ya watu ndo corse zikawa zinaongezewa
Sasa Sijui hukumuelewa?
 
Msingi wa vyuo vya kisabato hapa nchini ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kiroho (wachungaji ) watakao kuwa na jukumu la kutoa Elimu ya kiroho kwa waumini na wasio waumini wa ki adventista. Hilo lilikuwa dhumuni kuu lakini kwa kuwa kama taasisi inayopanuka mahitaji yake pia yanaongezeka na uhitaji wa kuwa na wataalamu wa mambo mbalimbali unaongezeka kwa waumini na wasio waumini basi hivi vyuo vinaanzisha kozi nyengine ili kutoa elimu. Ni transition period sababu hata kozi ambazo zipo leo hazikuanza zote kwa pamoja. Wakati utafika ambapo taasisi itaona inafaa kwa kuzingatia taratibu na mahitaji ya utoaji wa kozi husika then ita ianzisha. Sioni uhusiano wa kukosa hiyo kozi na uhusiano wa kidini. Kwani hiyo sheria inatolewa kwenye vyuo vyote Tanzania. Na tukae tukijua kuna Taasisi ambazo zenyewe zina vipaumbele vyake kwa hiyo siwezi shangaa kukuta taasisi kubwa yenye kila Rasilimali lakini ikaamua kubobea sehemu moja.

Hiyo hapo quotation kama hukuisomaa
 
Nimesoma comments zote zilizotolewa humu na nimekubaliana na usemi kuwa no research no right to speak na akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Wenye maswali ulizeni mpate kuelimishwa si kuegemea kwenye habari za kuambiwa ambazo mara nyingine zinakuwa za kupotosha. Tatizo letu wa Tanzania hatupendi kusoma
 
Kwenye post yako sio tu uliona inawezekana jambo hilo likawa la kweli bali uliona kutokuwepo kwa somo hili ni kitu cha kushangaza na ulishangaa

Nimesema na ninasema kuwa baada ya kugundua kuwa ni kweli kuna vyuo vinafundisha imeonekana havina muda mrefu tangu vianze kufanya hivyo,sasa ni kitu gani kilikuwa kinafanya somo hilo lisiwepo kabla?
Na kitu gani kimefanya somo hilo limewekwa sasa?

Nimekebehi wapi?
Nimechokonoa wapi/nini?

Nimelazimisha wapi majibu?



Rafiki yangu Eiyer nashindwa kabisa kukuelewa sijui unataka nini au unataka kusema Ni juu hii mada yako mpk sasaivi...!

Naomba nikuulize maswali haya na ninakuomba unijibu...!

Unayafahamu vzr malengo ya kanisa la wa Sabato ktk kuanzisha kitu km Chuo, vituo vya afya au Jambo lolote?

Unayafahamu masomo yote wanayotoa ktk vyuo na shule zao?

Na kwanini watoe Hayo masomo na kuacha mengine?
 
Last edited by a moderator:
Kuna mambo ya Mungu na kuna mambo ya duniani

Huwezi kupuuza ya Mungu kwasababu unkwenda kwake
Huwezi kupuuza ya duniani kwakuwa uko duniani

Yesu aliagiza kuwa tunapokuwa hapa duniani tunatakiwa tujue kuwa tunahitajika tujue kuwa kuna serikali na tuipe yale ambayo ni halali kwayo NA NDIO MAANA ALISEMA TUMPE YA kAISARU YALE AMBAYO YANAMFAA NA YA mUNGU TUMPE PIA

Unapokuwa duniani halafu ukapuuza ya hapa duniani unakuwa unakosea sana,serikali inatambulika na Mungu na ndio maana ametuagiza tuiheshimu,unaposema tuzingatie tu ya kiroho unakuwa unamkosea Mungu pia

Kwa mantiki hiyo sasa,ndipo swali linakuja,ni kwanini kwenye vyo vya kisabato kulikuwa hakuna hili somo?

Nadhani utakuwa umeelewa!


Ata km tuziheshimu mamlaka au serikali za duniani Lkn hakuna mamlaka au serikali ile inaweza kujiinua juu kuliko serikali au mamlaka ya Mungu...!

Ata km tupo duniani mambo ya kiroho au ya Mungu yanapaswa Kua mbele kuliko mambo yoyote Yale. Km unapinga hili Eti useme na mambo ya duniani Ni muhimu Basi utakua na lako Jambo....! Unataka kuniambia Somo la sheria litakuasaidia nini kwa Mungu? Utasimama mahakamani na Mungu? Kwa sheria ipi? Iliyotungwa na Chenge? Ktk Somo la Sheria kuna sheria ya UPENDO?

Hivi hapa Duniani Somo la sheria ndio Somo muhimu kuliko masomo yote? Na Ni lazima taasisi zote ziwe za kidini au za kibinafsi zifundishe?
 
Inawezekana hukusoma post za mwanzo,suala la kutokuwepo na somo hili kwenye vyuo vyenu limehusishwa na imani,sasa kama ni hivyo inakuwaje leo somo hili lipo?

Unapofanya jambo ambalo wakati wa nyuma ulikuwa unadhani ni kosa,sio kujua kuwa ulikuwa umekosea?
Sasa sio chaka hilo?

Hapana,sio lazima lakini inapotokea kuwa vyo vyote vya watu fulani hawafundishi somo fulani au kozi fulani huoni hilo ni tatizo?

Swali lako linakuwa na msingi kwasababu mlikuwa hamfundishwi sheria na jambo hilo linasababu za kiimani,kwahiyo sasa unapopata kesi na kuja kusimamiwa na mtu ambae wewe unamuona anafanya dhambi ni sawa?

Hapana wewe inaonekana hujiamini,ni kwanini unadhani hivi wakati sababu iko wazi?

Ni kweli jibu limekuja kuwa watafundisha sheria,lakini kama watu tunaotumia akili zetu vizuri jibu hilo limezua jibu lingine baada ya kuonekana mmeanza kufundisha karibuni tu,kwanini?

Nini kiliwafanya huko mwanzoni msifundishe?
Kama una jibu si ujibu halafu uone kama kuna jambo ambalo limejificha kama unavyodai wewe?

Hebu jibu basi!


Nani kakuambia Kua kufanya Hilo Jambo kwa sasa ambalo hapo nyuma tulikua hatufanyi Ni kosa?

Ni kanuni gani ya kanisa inakataza vyuo vya kisabato kufundisha Somo la sheria kwa misingi ya Imani?


Umesema Ni dhambi kuweka Wakiri ktk kusaidia kesi kwakua anakua anakosea..., UNAWEZA kunipa ushahidi wa kimaandiko Kua ukiwa mwanasheria Ni dhambi, au ukiweka wakili ktk kesi Ni dhambi?

Naomba majibu tafadhali
 
Kitendo cha kuacha kufundisha ni ishara ya walakini kwasababu ni somo ambalo ni uhimu sana kwenye maisha ya kila kisu

Na pia inaonekana hakukuwa na hiyo kozi kwenye vyuo vyenu mkuu,kwanini?

Na je ile sababu ambayo iliwafanya msiweke hiyo kozi imeondokaje?


Sio Somo muhimu kwa maisha ya kila siku!

Kuna masomo mangapi hawafundishi kwanini Hayo usiyatilie walakini Bali hili tu la sheria?

Kwani Ni lazima kozi zote ziwe ktk vyuo vyetu? Mbona hatufundishi URUBANI Hilo unalionaje sio muhimu ktk maisha yetu?

Wewe unaonekana unaijua vzr sababu iliyotufanya tusiweke Hilo Somo ktk vyuo vyetu...hebu tujulishe Ni sababu gani hizo?
 
Kwanza ni kweli vyuo vyenu vilikuwa havitou hiyo degree

Halafu kikubwa zaidi ukisoma post za Wasabato utagundua kuwa wapo ambao walikuwa hawajui jambo hili na kuna wengine wanalijua

Pia inaonekana degree hii imeanza kutolewa nyakati hizi

Kwasababu hizo hapo juu mada hii imeleta manufaa kwenu na kwa wale ambao sio wasabato,lakini kikubwa ni kuwa bado hamjasema ni kwanini hamkuwa mnafundisha sheria kwenye vyuo vyenu

Kimsingi sijakurupuka ila wewe ndio umekurupuka!


Sio sheria tu ambayo ilikua haifundishwi ktk vyuo vya wasabato na sio lazima kila masomo vyuo vya kisabato vifundishe...!
 
Kwenye post yako sio tu uliona inawezekana jambo hilo likawa la kweli bali uliona kutokuwepo kwa somo hili ni kitu cha kushangaza na ulishangaa
Ni kweli nilisema hivyo, lakini jaribu kuuliza kwa nini nilisema hivyo na sio kuja na hitimisho, hiyo inaitwa premature conclusion.
Nimesema na ninasema kuwa baada ya kugundua kuwa ni kweli kuna vyuo vinafundisha imeonekana havina muda mrefu tangu vianze kufanya hivyo,sasa ni kitu gani kilikuwa kinafanya somo hilo lisiwepo kabla?
Na kitu gani kimefanya somo hilo limewekwa sasa?
Hili swali kiongozi sioni mantiki yake kabisa, "kwa nini mkwawa university haifundishi engineering courses?"
Hapa unatafuta kuchimba kitu bila sababu za msingi, labda kwa vile kuna kitu umeshaambiwa tayari, ungekuwa wazi tujue...!
Nimekebehi wapi?
Nimechokonoa wapi/nini?
Nimelazimisha wapi majibu?
Unalazimisha majibu, pale unapolazimisha kuuliza maswali ya majibu ambayo tayari umeshapewa, au kwa weledi wangu tayari una majibu...!
 
Back
Top Bottom