vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,807
- 2,188
Ushauri dogo ana
Biology B
Chemistry C
Physics C
Ila hesabu ana F
Je anaweza pata chance kusoma diploma za afya
Kweli anaweza kupata na kitu cha muhimu ingia website ya NACTE halafu fungua icon ya GUIDEBOOK AND SELECTION hapo utapata vyuo vya serikali na Private, location... pamoja na ada zake, kuwa mwangalifu kwani kuna vingine vimefungiwa na utaviona kwenye website hiyohiyo!