Ni kweli.tembelea tovuti yao uoneEti nasikia wameongeza muda wa kuapply adi tarehe 3 mwez june..je kuna ukweli juu ya hilo
Ni kweli.tembelea tovuti yao uoneEti nasikia wameongeza muda wa kuapply adi tarehe 3 mwez june..je kuna ukweli juu ya hilo
diploma Mkuu.Phy d,chem c na bios c.Masomo mengine yote d kosoro math tu f
Hapo utaanzia Certificate Maana vigezo ni Phy at least D Chem&Bio Ziwe CNaomba mnisadie apa nina phy D Chem D na biox C naweza kuxoma pharmarcy kwa ngaz ya diploma chuo cha private na nina 3 ya 23 nimelza mwaka jana
UnA pata Mkuu Ata vya governmentNimemaliza form four 2006 na kupata ccc...sayansi nkassoma pcb advance nkamaliza 2009..jenaweza pata chuo cha serikali ..diploma ya clinical officer
Mtu mwenye c ya chem na bios ila f physics anaweza pata nafasi ya nursing chuo gani mkuucoz gan una apply..chet au dip,je pass mark zako zkoje?em tuambie ili tusaidiane ktk hilo..
Kwa sasa hawezi pataMtu mwenye c ya chem na bios ila f physics anaweza pata nafasi ya nursing chuo gani mkuu
Unaruhusiwa mkuuAh! Mbona nachanganyikiwa?! Nimemaliza mwaka jana (2016), naruhusiwa kuapply muda huu?
Vyuo vya Government wanachukuwa waliomaliza form four Kuanzia mwaka 2012 kuja juu, So huyo aombe private ila serikali MagumashiUnA pata Mkuu Ata vya government
Huyo aliuliza toka mwez wa 2 intake ya March.. So waliruhusiwa kuomba wale waliomaliza form four 2015 kushuka chiniUnaruhusiwa mkuu
Sawa mkuuHabari yako.. karibu KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY.. DAR ES SALAAM COLLEGE... MIMI NI AGENT WA CHUO HIKO.
KUNA KOZI ZA AFYA, HUMANITIES PAMOJA NA BIASHARA KUANZIA NGAZI YA CERTIFICATE MPAKA MASTERS eligibility ni kulingana na vigezo vilivyowekwa na TCU kwa undergraduate na NACTE kwa Diploma & certificate.
0719568659 kwa mawasiliano zaidi.
tunakuja kiu gomz...0719568659 kwa mawasiliano zaidi.