VYUO VIKUU vya Tanzania havitambuliki kimataifa!!!

VYUO VIKUU vya Tanzania havitambuliki kimataifa!!!

Niangalizie OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA
 
Nadhani hii makala umeitoa kwenye website ya BBC ,ni makala imeandikwa muda mrefu kidogo mwezi wa nne mwaka huu.Ubaya hukuweza kufanya utafiti wewe mwenyewe ukachukulia kila kilichoandikwa kuwa ni sahihi.Unaposema vyuo havitambuliki kama hiyo makala ilivyoandikwa ulichunguza ukweli wa hilo?.Kwanza kukuuliza wewe ni kama nakuonea kwani hicho ulichoandika hapo ume copy na ku paste.

Ni wanafunzi wangapi unazohabari wanatoka vyuo vya Tanzania ikiwemo UDSM,SUA nk wanaenda kusoma vyuo vya Marekani na Ulaya ambavyo vipo kwenye Top 100 best Universities in the world?.Vyuo vya Tanzania ni mfano tu kwa Africa nzima. Ukifanya majumuisho utajua nini nachojaribu kukuelezea.Kama ungejua hilo na ungeisoma makala ile vyema ungeelewa mwandishi alichokuwa anamaanisha.

Moja ya sifa za kudahiliwa kufanya Master/PhD kwenye vyuo kama Yale, Harvard,Oxford,MIT ,University of Cambridge. ni kuwa chuo ulichotoka kufanya Fisrst Degree kiwe wanakitambua. Mbona tuna orodha ya watu wamesoma UDSM-Muhimbili, SUA wanasoma/walisoma kwenye hivyo vyuo. Hivyo ni baadhi ya vyuo vikongwe vinavyoaminika kwa ubora duniani.

Siku nyingine ufikirishe akili sio kila unachokiona kimeandikwa kwenye vyombo vya habari vya magharibi ni sahihi kukileta huku kama vile hoja ya msingi.Mbona huja copy alipoainisha kuwa sababu mojawapo ya kutotambulika ni za kibiashara ?

Hili ni jukwaa la Great Thinkers usipotoshe mambo kwa uvivu wako wa kufikiri.

Makala uliyodesa ni hii hapa
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2011/04/110411_afrika_vyuo_vikuu.shtml
 
Sa we ulitaka tz itambulike kwa elimu gan ilyopo nchin,elimu ka ya udom,udsm,sua au cjui ifm na iaa unaweza ukairnganisha na vyuo ka MIT,Havard,cambridge na oxford kweli..

mkuu huku 2nasomea sifa na kupata kaz, ndiyo maana mijadaya ya kubishania ubora wa vyuo haiishagi humu jf ambamo tunaita ni kwa GTs. Wenzetu huko hayo mambo hawana.
 
Kuorodhesha vyuo vikuu
kulingana na umaarufu ni
desturi inayokua kwa kasi sana
katika sekta ya elimu ya juu.
Orodha hiyo, inayojumuisha
vyuo vikuu vilivyo maarufu
zaidi duniani, ina walakini
kwani bara zima halimo.
Hutapata hata chuo kimoja
kutoka bara la Afrika kwenye
orodha hiyo.
Vyuo vikuu vilivyoorodheshwa
ni vya Marekani, Ulaya na
baadhi kutoka China na Korea
Kusini huku Afrika ikiwa
imesahaulika.
Mkuu uandishi wako huwa unanimaliza maana utafikiri ni ngonjera au shairi au gospel song etc. Anyways ushauri wa bure rekebisha kidogo maana maandishi ya namna hii yanachukua nafasi kubwa pasipo sababu. Back to the topic. Very true vyuo vya Tz havitambuliki kwa sababu vingi ya hivyo vyuo havina viwango toshelezi. Waalimu hawaeleweki, vyuo vipo uchochoroni ni vurugu tupu. Kila chuo cha ufundi bongo siku hizi ni chuo kikuu unategemea nini? Do we real have qualified teachers to teach au wababaishaji ilimradi mkono uende kinywani?
 
mkuu uandishi wako huwa unanimaliza maana utafikiri ni ngonjera au shairi au gospel song etc. Anyways ushauri wa bure rekebisha kidogo maana maandishi ya namna hii yanachukua nafasi kubwa pasipo sababu. Back to the topic. Very true vyuo vya tz havitambuliki kwa sababu vingi ya hivyo vyuo havina viwango toshelezi. Waalimu hawaeleweki, vyuo vipo uchochoroni ni vurugu tupu. Kila chuo cha ufundi bongo siku hizi ni chuo kikuu unategemea nini? Do we real have qualified teachers to teach au wababaishaji ilimradi mkono uende kinywani?

muongo
 
Kuwa mstaarabu kidogo. I think neno 'si kweli' would have worked better kuliko. Heshima ni kitu cha bure.
Naomba uthibitishe usemi wako. Taja hata chuo kimoja tu ambacho kinatambulika kimataifa.
 
Kuwa mstaarabu kidogo. I think neno 'si kweli' would have worked better kuliko. Heshima ni kitu cha bure.
Naomba uthibitishe usemi wako. Taja hata chuo kimoja tu ambacho kinatambulika kimataifa.

pakawa usiwe na mawazo mgando! Unayo degree ya chuo gani? Unafahamu maana ya kutambulika kimataifa? Tofautisha kati ya ranking na kutambulika. Udsm na sua wanazo international codes zinazofanya vitambulike, na sio zile list za vyuo unazoona kama unavyoangalia msimamo wa ligi.
 
pakawa usiwe na mawazo mgando! Unayo degree ya chuo gani? Unafahamu maana ya kutambulika kimataifa? Tofautisha kati ya ranking na kutambulika. Udsm na sua wanazo international codes zinazofanya vitambulike, na sio zile list za vyuo unazoona kama unavyoangalia msimamo wa ligi.
Nadhani kufahamishana na kuelimishana ni jambo la msingi na sio lugha ya kejeli na matusi.Mimi kwa ufahamu naona vyuo vyetu vilikuwa vinafanya vizuri hapo nyuma na si sasa.
 
Kuorodhesha vyuo vikuu
kulingana na umaarufu ni
desturi inayokua kwa kasi sana
katika sekta ya elimu ya juu.
Orodha hiyo, inayojumuisha
vyuo vikuu vilivyo maarufu
zaidi duniani, ina walakini
kwani bara zima halimo.
Hutapata hata chuo kimoja
kutoka bara la Afrika kwenye
orodha hiyo.
Vyuo vikuu vilivyoorodheshwa
ni vya Marekani, Ulaya na
baadhi kutoka China na Korea
Kusini huku Afrika ikiwa
imesahaulika.

Si vyuo vyote vya TZ havitambuliki (tafiti zaidi kuhusu accredited and chartered university) . Siku zote kuna ranking ya vyuo kwa kutumia vigezo mbalimbali ikiwemo iidadi: ya wanafunzi wanaodahiliwa, machapisho ya wanataaluma katika jono zinazotambulika kimataifa,; ubora na wingi wa tafiti, ugunduzi unaofanywa na wanataaluma katika vyuo husika, kiwango cha utumiaji technohama nk. Kwa kutumia vigezo vya namna hiyo kinapatikana chuo cha kwanza hadi mwisho. Kwa mfano kwenye viwango vya fifa TZ ina rank numa sana lakini huwezi kusema kisoka haitambuliki kimataifa.
 
Kuorodhesha vyuo vikuu
kulingana na umaarufu ni
desturi inayokua kwa kasi sana
katika sekta ya elimu ya juu.
Orodha hiyo, inayojumuisha
vyuo vikuu vilivyo maarufu
zaidi duniani, ina walakini
kwani bara zima halimo.
Hutapata hata chuo kimoja
kutoka bara la Afrika kwenye
orodha hiyo.
Vyuo vikuu vilivyoorodheshwa
ni vya Marekani, Ulaya na
baadhi kutoka China na Korea
Kusini huku Afrika ikiwa
imesahaulika.
Sio kweli mkuu kwan mbona katika World rank ya vyuo vikuu wanaviweka na vile vya africa?
Mfano hapa Tz: UdsmWorld Rank ni ya 3415,SUA 10061,OUT 8048,Mzumbe 11028,IFM 8504 nk.
source: Top Universities in Tanzania, United Republic of 2011 - Top Study Links
 
havitambuliki au havipo kwenye hiyo list? kwa kuwa vyuo ni vingi labda list uloiona wewe vyenyewe havikuweza ingia lakini ukisema havitambuliki sikuelewi sababu watu wanapata hapa digrii wanaenda pata masters huko duniani so kama havitambuliki wangewapokeaje huko. kuto tambulika maana yake huwezi kubalika sababu digrii yako hawaitambui sasa watakupaje ya pili wakati ya kwanza hawaitambui. ukifuatilia vigezovinavyotumika ktk kuvigrade utagundua utajiri unahusika ili kutoa elimu bora, unapozungumzia tz hata Afrika tuna vyuo viwili tu vinavyoingia kwenye list ya100 bora. vimejaa vya Afrika kusini tu kwenye top ten.
 
Nadhani kufahamishana na kuelimishana ni jambo la msingi na sio lugha ya kejeli na matusi.Mimi kwa ufahamu naona vyuo vyetu vilikuwa vinafanya vizuri hapo nyuma na si sasa.

kweli tupu
 
hivi kunatofauti gani
kati ya bachelor of
science in computer
science na bachelor of science with computer
science? ? ? Na ipi ndo
ipo fresh?
 
Wewe dogo tumekuchoka,ile post ya "senetor" umeuliza swali kama hilo na hapa nako hivyo hivyo,ebu pumzika mchana usiku ukamuke,si unaujua mziki wa pc-kunani!!vipi modern physics ushamaliza yote???tuition wapi?mtiga?muddy?mtata?mwarami?
hivi kunatofauti gani
kati ya bachelor of
science in computer
science na bachelor of science with computer
science? ? ? Na ipi ndo
ipo fresh?
 
Wewe dogo tumekuchoka,ile post ya "senetor" umeuliza swali kama hilo na hapa nako hivyo hivyo,ebu pumzika mchana usiku ukamuke,si unaujua mziki wa pc-kunani!!vipi modern physics ushamaliza yote???tuition wapi?mtiga?muddy?mtata?mwarami?

Mwake mwake man! Yah modern physics nishamaliza ila sijamalizia ELECTRONICS Nipo kwenye LOGIC GATES,
Mtata na mwarami wanafundisha hesabu man! We ulisoma mzumbe sec au unasoma MU ? Siyo siri huu mziki wa PC- kunani nomaaa... Ukitaka kuperfom fresh lazima usome Mambo kibao! Sijui hadi chuo ndio hv hv? ? ? ?
 
Mwake mwake man! Yah modern physics nishamaliza ila sijamalizia ELECTRONICS Nipo kwenye LOGIC GATES,
Mtata na mwarami wanafundisha hesabu man! We ulisoma mzumbe sec au unasoma MU ? Siyo siri huu mziki wa PC- kunani nomaaa... Ukitaka kuperfom fresh lazima usome Mambo kibao! Sijui hadi chuo ndio hv hv? ? ? ?

sa ka muda wote uko jf hyo Tlanta unaisolve sa ngap dogo??
 
Back
Top Bottom