Vyuo vikuu vya Afrika Kusini kutoa Shahada ya Uchawi

Vyuo vikuu vya Afrika Kusini kutoa Shahada ya Uchawi

Hata Temeke pana chuo kinafundisha Uganga degree miaka 7 darasani.
Unakula miaka 5 masomo ya uchawi darasani na vitendo ukifuzu ndo unaingia darasani la uganga kwa miaka 2.
Hiki zamani si kilikuwa Buguruni Mnyamani?
 
Hiki zamani si kilikuwa Buguruni Mnyamani?
Temeke kipo kinachoonekana na kisichooneka
Kisichoonekana kipo pale sabasaba njia ya ng'ombe kwenye miembe mingi pale.Kwa macho ni miembe kiroho ni chuo kikubwa tu majengo ya kutosha.
Ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko ulimwengu unaonekana.
 
Temeke kipo kinachoonekana na kisichooneka
Kisichoonekana kipo pale sabasaba njia ya ng'ombe kwenye miembe mingi pale.Kwa macho ni miembe kiroho ni chuo kikubwa tu majengo ya kutosha.
Ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko ulimwengu unaonekana.
Sasa kwa mtu kama mm nisiyeona kuwa ni chuo (naona miembe) nitatuma vipi maombi?
 
Sasa kwa mtu kama mm nisiyeona kuwa ni chuo (naona Milembe) nitatuma vipi maombi?
Chochote ukihitaji duniani utapata mlango wa kukufanikisha.
Ukienda ugenini ukitaka bange au gongo au malaya wapi utapata.
Mwenye shida na vyuo hivyo hapati tabu kuvipata
 
Mkuu nitajie baadhi mm nikasomee ujuzi wa kupaa kwa ungo
Ili iweje fanya jambo kwa faida YAKO lisilofaida nalo achana nalo.
Kama Mimi tajifunza uchawi Ili niujue usidhuru.
Huwezi Pambana na adui bila kumjua
 
Bangi pia kama hujaizoea ina tabia ya kukufanya uone ndoto ulizoota ni uhalisia [emoji1] [emoji1] [emoji23]
Pengine hujawahi kufika hata hilo eneo ni bangi tu inakuonyesha kwamba ulienda huko kizazi [emoji100] [emoji100] [emoji125] [emoji125]
Ha ha haaaaa wewe ni Ms***nge kwa hiyo alikuwa anawaza!
 
Back
Top Bottom