Vyuo na programu zilivyozuiliwa kudahili wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18

Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi
 
Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi
Unatoa taarifa kama shilawadu....na kcmc nao watasemaje?
 
Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi
 
Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi

Acha kuongea kishabiki,naomba hata ambao hatukufanikiwa kufika UDSM tusikiongelee chuo hiki kwa chuki za wivu.

Kozi iliositishwa ni ya Udaktari wa binadamu.Kikubwa katka hio ilikua ni ushauri wa Mhe Rais,kwa nn tuwe na MD udsm wakati MUHAS ipo na tena inaendelea na ujenzi wa Chuo kikubwa kabisa cha Afya Mloganzila.Hivo aliagiza Mloganzila ikifunguliwa wanafunzi walioko pale wahamishiwe Mloganzila na TCU isipeleke pale wanafunzi wa MD tena.

Sasa kama hulijui jambo usilishabikie.Hivyo vyuo vingne hasa vya private ni halali yao kufungiwa.Mana vimekaa kibiashara zaidi bila kuangalia ubora wa elimu wanayoitoa.
UDSM itaendelea kua tu UDSM kwa ubora wa elimu.Hakuna UDSM ya zamani au ya leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi
Mkuu embu fafanua kidogo hapa.
 
Tukisema udsm ilikuwa ya zamani huwa tunamaanisha. Sasa TCU wameanza kuimulika na kuona madudu yaliyopo. kwa Mara ya kwanza katika historia ya dunia, chuo hiki hakitaweza kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi. hii no kutokana na kukosa sofa za kudahili.

Endapo TCU wakiendelea kufanya ukaguzi kwenye chuo hiki tutegemee kozi nyingi zitafutwa na huenda ikafika hatua chuo kikafungwa kabisa.

Huu ni ujumbe Wa tcu kwa vijana wanaotarajia kutuma maombi
Bila shaka hujasoma udsm, na unawaonea wivu udsm ex students. Iko hivi, Magufuli alikataa udsm kudahili wanafunzi wa medicine na kozi yoyote ya afya kwa kuwa kuna MUHAS na sasa kuna MLOGANZALA.

Hivyo kwa kuwa vyote ni vya serikali,Magufuri alielekeza wanafunzi wote wa udsm waende huko
 
Elimu ya Tanzania ilifika mpaka mtu unajiuliza! nimefurahishwa kwa serikali kuangalia upya na kutathmini weledi wa hivi vyuo vikuu. Nadhani ilifika mahali mtu ana masters hata kuandika barua ya kuomba kazi hajui! unajiuliza amefanyaje research? amepasi vipi? Aiseee! Hongera Waziri wa Elimu!

Ila bado NAAMINI University of Dar es salaam bado ni chuo bora kabisa nchini mwetu hakuna wa kukipiku kwa kweli.
 
Sio kwamba hazina sifa.. thats a polite way kukuambia kuwa kozi hizo hazina ajira usisome.
Mtu ana digrii ya fine arts and perfoming hajawahi toa hata wimbo wa ubeti mmoja wakati Diamond wa darasa la saba anaikniza Dunia!
Hahahaha dah hatari sn

Iphone 5
 
Acha kuongea kishabiki,naomba hata ambao hatukufanikiwa kufika UDSM tusikiongelee chuo hiki kwa chuki za wivu.
Kozi iliositishwa ni ya Udaktari wa binadamu.Kikubwa katka hio ilikua ni ushauri wa Mhe Rais,kwa nn tuwe na MD udsm wakati MUHAS ipo na tena inaendelea na ujenzi wa Chuo kikubwa kabisa cha Afya Mloganzila.Hivo aliagiza Mloganzila ikifunguliwa wanafunzi walioko pale wahamishiwe Mloganzila na TCU isipeleke pale wanafunzi wa MD tena.
Sasa kama hulijui jambo usilishabikie.Hivyo vyuo vingne hasa vya private ni halali yao kufungiwa.Mana vimekaa kibiashara zaidi bila kuangalia ubora wa elimu wanayoitoa.
UDSM itaendelea kua tu UDSM kwa ubora wa elimu.Hakuna UDSM ya zamani au ya leo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bila shaka hujasoma udsm, na unawaonea wivu udsm ex students. Iko hivi, Magufuli alikataa udsm kudahili wanafunzi wa medicine na kozi yoyote ya afya kwa kuwa kuna MUHAS na sasa kuna MLOGANZALA.

Hivyo kwa kuwa vyote ni vya serikali,Magufuri alielekeza wanafunzi wote wa udsm waende huko

UDSM kimefungiwa kudahili wanafunzi kwenye program mbili: Doctor of Medicine na Bachelor of Agricultural Engineering and Mechanization. Kama maelezo yenu kuhusu medicine ni sahihi je kuhusu hii ya pili sababu ni nini?

Labda niwaulize pia hivi: Mnafahamu vigezo vilivyotumika kufanya uhakiki wa vyuo na mnajua kuwa ulifanyika Sept/Oct 2016? Je tamko la Rais lilikuwa ni sehemu ya vigezo hivyo?
 
Back
Top Bottom