Labda ana maana ya majengo na maeneo vilipo.Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Sio university iyoIFM chuo changu ni cha ngap
Kwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.Sasa mimi mtu wa Sheria chuo cha Muhimbili, SUA n.k vinakuaje vyuo bora kwangu?
.
Hizi orodha huwa na tabu nazo sana kuanzia zile za mwanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa n.k
.
Ungetenganisha kulingana na kada mfano vyuo bora vya masomo ya sanaa ukavitaja vyuo bora vya masomo ya science ukavitaja ila unataja kiujumla hivyo maana yake nini?
Ona vigezo walivyotumiaUna mawazo mazuri sana Mkuu,
labda nikuulize,hapa Tanzania Kuna specialization za Vyuo?
Vyuo vikuu vya science ni vipi?
sababu siku hizi hata suo unakuta wana Business Administration,Muhimbili wa Science ya Binadamu wakati Udsm wana science ya Engineering vitu,Udom wana vyote...science,sanaa,biashara nk,Mzumbe wana Biashara,sheria,social science nk,sasa hebu naomba utoe Muongozo wako ili wasomaji tuelewe criteria zipi unataka ziwekwe ktk kutofautisha vyuo vikuu?
Wengine wanaangalia number of Phd,wengine researches published,Internationala journals,nk nk
Hiz ndo international standards walizotumiaLabda kuna vigezo wanaangalia Mkuu,vema ukatafiti ni vigezo gani wanatumia,mfano Phds,Researches,Enrollments,nk nk,sina uhakika vigezo vipi huwa vinahitajika international standard,Unaweza kusearch ukatusaidia kwa Faida ya wengi.
Kuna KITU PIA UMESEMA Kwa shule za sekondari pia kuzilinganisha zote...
Hivyo ndo vigezoKwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.
Wakimaliza hiyo ya jumla wanakuja sasa hiki unachokisema - ubora wa program moja moja. Hata hapa napo vigezo vinafanana fanana. Japo UDSM kinaweza kuwa chuo bora katika ujumla wake lakini hii haina maana kuwa kina program bora zaidi kuliko vyuo vingine. Of course Medicine itakuwa Muhimbili, Kilimo SUA n.k
Mwaka huu kwa mfano MIT nadhani ndiyo chuo nambari wani duniani lakini hawa sana sana ni wazuri kwenye Engineering na mambo ya sayansi. Ukitaka sheria na MBA pengine itabidi uende Harvard. Medicine John Hopkins. Management UCLA...Political Science Berkeley...
Ndivyo ilivyo !!!
The best reply ,Wale mnaoappy msiendeende Tu ilimradi umepata chuo .chagua chuo Bora na kozi Bora na unayoipenda.
List ya mwaka huu hiyo kadri ya unilinkView attachment 1186635
Ni nini college au ndukiiiiSio university
Wapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.Nimeona mkuu, shida yangu iko palepale mtu anaesoma MD akisema chuo chake bora ni MUHAS na wakati huohuo mtu anaesoma engineering akisema chuo chake bora ni UDSM alafu hapohapo anakuja mkulima anasema kwake SUA ni bora yupi utambishia na nani utamkubalia?
Kuna thread nilianzisha humu kuwa muhimbili na Ardhi university zirudi UDSMWapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.
Zamaani tulikuwa MUCHS of UDSM, sifahamu nani alikuja na wazo la MUHAS na sijui tatizo lilikuwa nini hadi kufikia huko.
Zamani MUHAS ilikuwa sehemu ya UDWapo MD wa UDSM na MD hawa wa MUHAS inategemea unaongea na yupi.
Zamaani tulikuwa MUCHS of UDSM, sifahamu nani alikuja na wazo la MUHAS na sijui tatizo lilikuwa nini hadi kufikia huko.
Bado haujanipatia ufumbuzi wa shida yangu mkuu, je haiwezekani kuvigawanya kulingana na kada husika?Kwanza wanapanga vyuo bora kwa ujumla wake. Hapa wanaangalia mambo mengi mf. Facilities zilizopo, ratio ya walimu na wanafunzi, Quality ya walimu (Phd holders au ni wabangaizaji tu), idadi ya wahitimu wa shahada za juu kila mwaka na muhimu zaidi utafiti na idadi ya machapisho katika peer reviewed journals za kimataifa pamoja na academic books. Hii ni kwa kuangalia chuo kwa ujumla wake.
Wakimaliza hiyo ya jumla wanakuja sasa hiki unachokisema - ubora wa program moja moja. Hata hapa napo vigezo vinafanana fanana. Japo UDSM kinaweza kuwa chuo bora katika ujumla wake lakini hii haina maana kuwa kina program bora zaidi kuliko vyuo vingine. Of course Medicine itakuwa Muhimbili, Kilimo SUA n.k
Mwaka huu kwa mfano MIT nadhani ndiyo chuo nambari wani duniani lakini hawa sana sana ni wazuri kwenye Engineering na mambo ya sayansi. Ukitaka sheria na MBA pengine itabidi uende Harvard. Medicine John Hopkins. Management UCLA...Political Science Berkeley...
Ndivyo ilivyo !!!
Hahahaha.KIU haha!
Kampala International University nimesoma chuo uchwara sana hakuna lolote pale nilisoma one year nikaacha na kujumlisha kutosajiliwa kwa course yangu ndo nikaamua kuquit kbs....
But KIU ni chuo cha wavivu....