Vyumba vya mateso

Vyumba vya mateso vinatisha. Lakini katika dini tunafahamishwa kuwa kutakuwa na mateso zaidi ya hayo na kutakuwa hakuna kufa ni mateso tuuuu. Mfano
Na sema: “Hii ni haki kutoka kwa Rabb wenu. Basi anayetaka aamini, na anayetaka akufuru.” Hakika Sisi Tumewaandalia madhalimu moto ambao kuta zake zitawazunguka. Na wakiomba uokozi watapewa maji kama masazo ya zebaki nyeusi ziliyoyeyushwa yanayobabua nyuso. Ubaya ulioje kinywaji hicho, na uovu ulioje mahali pa kupumzikia.
 
Sawa na jehanam ama kuzimu na dhana nzima ya hungry ghosts... Naona hili jambo lipo kila mahali tunatofautiana lugha tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…