KERO Vyoo vya MV Mwanza vinanuka sana, mamlaka zishughulikie

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Maji Chai

JF-Expert Member
Dec 8, 2018
252
329
Wakuu habari za muda huu,

Nipo zangu natoka Mwanza kuelekea Sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo naona vipo pembeni na canteen yao hapa juu.

Sijui ni kwa namna gani hawa wapishi wanapata hata nguvu za kupika na kuwahudumiwa wateja wake kwenye eneo ambalo choo kinanuka kiasi hiki.

Hili jambo inabidi walifanyie kazi kwakweli.
 
Samahani kwanza mkuu hivyo vyoo vya mv mwanza vinamwaga mavi wapi!!? Isije ikawa tunakula mavi
 
Vyoo havinuki ila wasukuma wananuka, vyoo ni vizuri kwenye jamii mbovu isiyojua jinsi ya kutumia vyoo kiasi kwamba hata nzi huwa wanawacheka wasukuma.
 
Vyoo havinuki ila wasukuma wananuka, vyoo ni vizuri kwenye jamii mbovu isiyojua jinsi ya kutumia vyoo kiasi kwamba hata nzi huwa wanawacheka wasukuma.
Ukiwasema vibaya na kuwabagua wasukuma unagain jambo gani jipya la faida maishani mwako???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…