Cheap labor is always expensive. Hivi vituo vya utangazaji vinavyookota watangazaji mitaani bila kujali viwango na uwezo wao, vinakera sana. Unaajiri mtu asiyejua hata kusoma wa kutamka maneno ya kawaida kabisa, bila shaka ni kwa bei ngogo lakini hasara kwa mwenye kituo.
Nimesikia watangazaji wengi wakiwemo RFA, hadi nafikia kiasi cha kufunga station kwa sababu ya maudhi ya watangazaji. Huko ni kukimbiza wateja.
Utakuta hata radioni wamekusanyika kujadili mada bila utaalamu na bila hata kufanya utafiti. Wanaongea pumba kiasi kwamba hata uzito wa mada unapotea. Tatizo ni nini?
Mfano angalia hii you tube mtu anayesema 'ZARI ZE BOSS LEDI" TENA KWA KURUDIA RUDIA NA HALAFU ANAJILAMBA MIDOMO KWA SAUTI, bila kujua anakera na kufukuza wateja.
Huyu jamaa anakera kweli kweli!
Nimesikia watangazaji wengi wakiwemo RFA, hadi nafikia kiasi cha kufunga station kwa sababu ya maudhi ya watangazaji. Huko ni kukimbiza wateja.
Utakuta hata radioni wamekusanyika kujadili mada bila utaalamu na bila hata kufanya utafiti. Wanaongea pumba kiasi kwamba hata uzito wa mada unapotea. Tatizo ni nini?
Mfano angalia hii you tube mtu anayesema 'ZARI ZE BOSS LEDI" TENA KWA KURUDIA RUDIA NA HALAFU ANAJILAMBA MIDOMO KWA SAUTI, bila kujua anakera na kufukuza wateja.
Huyu jamaa anakera kweli kweli!