Vyombo vya Habari vya Tanzania tunahitaji taarifa sahihi za tukio la msikitini Kilwa..

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,318
Vyombo vya habari tokeni muende Kilwa mje na taarifa sahihi ya kilichotokea ndani ya msikiti huko Kilwa na hizo damu zilizotapakaa nini kilitokea wewe kama mwandishi tuletee taarifa na sio kusubiri taarifa za RPC za kuambiwa na askari wa chini.

Tunahitaji taarifa toka eneo husika huyo RPC yeye atatoa taarifa zake kama RPC sisi tunataka waandishi mkaongee na mashahidi wa eneo la tukio.

Otherwise nchi hii Kuna Kitu nyuma ya pazia kimejificha na ni mwaka wa 5 Sasa hakijulikani na hakuna anayetaka kukifichua Sasa kisijekikafika jukwaani nchi itawaka MOTO.
 
Vyombo vya habari tokeni muende Kilwa mje na taarifa sahihi ya kilichotokea ndani ya msikiti huko Kilwa na hizo damu zilizotapakaa nini kilitokea wewe kama mwandishi tuletee taarifa na sio kusubiri taarifa za RPC za kuambiwa na askari wa chini.

Tunahitaji taarifa toka eneo husika huyo RPC yeye atatoa taarifa zake kama RPC sisi tunataka waandishi mkaongee na mashahidi wa eneo la tukio.

Otherwise nchi hii Kuna Kitu nyuma ya pazia kimejificha na ni mwaka wa 5 Sasa hakijulikani na hakuna anayetaka kukifichua Sasa kisijekikafika jukwaani nchi itawaka MOTO.
TBC waende huko wakalete habari au wanataka kuleta habari za Tundu Lisu pekee?
 
Vyombo vya habari tokeni muende Kilwa mje na taarifa sahihi ya kilichotokea ndani ya msikiti huko Kilwa na hizo damu zilizotapakaa nini kilitokea wewe kama mwandishi tuletee taarifa na sio kusubiri taarifa za RPC za kuambiwa na askari wa chini.

Tunahitaji taarifa toka eneo husika huyo RPC yeye atatoa taarifa zake kama RPC sisi tunataka waandishi mkaongee na mashahidi wa eneo la tukio.

Otherwise nchi hii Kuna Kitu nyuma ya pazia kimejificha na ni mwaka wa 5 Sasa hakijulikani na hakuna anayetaka kukifichua Sasa kisijekikafika jukwaani nchi itawaka MOTO.
tayari gazeti letu pendwa lililojipambanua kutuletea taarifa zinazotia simanzi za MKIRU limekwisha tupa taarifa. Mengine ni magazeti non aligned , yatafanya utafiti na kuleta taarifa zisizo na shinikizo
 
Kabisa maana hilo tukio ni kubwa watu 10 ndani ya msikiti risasi zinapigwa halafu habari inakuwa nyepesi tu naona kama tz tuna vijarida vimejikita tu pale Kisutu
kweli kabisa kiongozi: watu 10 kuweka makazi yao msikitini siyo habari ndogo
 
Nilishasema mara nyingi hapa jukwaani, hatuna waandishi wa habari wala media house ya maana Tanzania! Nikaishia kutukanwa tu na mwishowe wakaja na utetezi dhaifu kabisa wakiongozwa na Paskali Mayala. Wote wa hovyo hovyo kabisa.

Kuna upuuzi kibao unapita bila kuripotiwa hapa nchini. Kuna mambo ya msingi kweli kweli wanayajua lakini kuyaripoti wanaogopa. Viongozi wanadanganya wananchi waziwazi lakini hata kufanya rejea ya ahadi za uongo kama hizo kwenye taarifa zao hawawezi. Wakihoji mtu ndio kabisa hawaulizi maswali ya msingi. Wengi hawawezi tena kuripoti jambo kama lilivyo bila kuegemea upande mmoja. Imefikia hatua ili uelewe taarifa fulani lazima usome taarifa hiyo hiyo kwenye magazeti yasiyopungua matatu.

Japo hakuna sekta hata moja Tanzania yenye kufanya mambo yake kwa uweledi japo kwa 50% lakini sekta ya habari ni kituko kabisa.
 
Samahanini waandishi wa habari wa bongo

Yule mzee mtukanaji wakati wa urais wake aliwatukana kwamba ninyi ni makanjanja. Leo ni miaka ishirini bado kuna comments humu hazina imani na utendaji na weledi wenu.

Mnakwamia wapi?

Hii nimeileta ili wajukuu zangu wasiwe na malalamiko kama niliyonayo na watoto wangu
 
Vyombo vya habari tokeni muende Kilwa mje na taarifa sahihi ya kilichotokea ndani ya msikiti huko Kilwa na hizo damu zilizotapakaa nini kilitokea wewe kama mwandishi tuletee taarifa na sio kusubiri taarifa za RPC za kuambiwa na askari wa chini.

Tunahitaji taarifa toka eneo husika huyo RPC yeye atatoa taarifa zake kama RPC sisi tunataka waandishi mkaongee na mashahidi wa eneo la tukio.

Otherwise nchi hii Kuna Kitu nyuma ya pazia kimejificha na ni mwaka wa 5 Sasa hakijulikani na hakuna anayetaka kukifichua Sasa kisijekikafika jukwaani nchi itawaka MOTO.
Ngoja kwanza wa promote taarifa za lisu wakimaliza wanakuja na za kilwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahanini waandishi wa habari wa bongo

Yule mzee mtukanaji wakati wa urais wake aliwatukana kwamba ninyi ni makanjanja. Leo ni miaka ishirini bado kuna comments humu hazina imani na utendaji na weledi wenu.

Mnakwamia wapi?

Hii nimeileta ili wajukuu zangu wasiwe na malalamiko kama niliyonayo na watoto wangu
Nakumbuka aliwaambia pale airport alipotua tu kutoka majuu.
 
Back
Top Bottom