GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
kweli sijaona substance toka kwa Moses zaidi ya misamiati ya kingereza uchumi ambayo ilikuwa diaconected na maada,binafsi nimeona huyo Moses ameharibu flow nzuri ya Mansoor.ningewaomba Star tv wairudio maada hii.ni kitu mhimi sana media wajue sis walaji tunataka zaidi ya kuhabarishwa.habari tunakuwa tumeshazipata toka kwa social media kabla ya tv na magazeti.so mostly wanafanyaga repeatition ya the same contents.
Acha kufanya Watu wajinga na labda ukidhani humu JF kuna Watu wa ' hovyo hovyo ' Mkuu. Ukweli ni kwamba unamchukia Moses Mathew kwakuwa inajulikana ni mwana CCM na anafanya katika Gazeti la Serikali la Daily News na unamkubali na kumpenda Mansur Jumanne kwakuwa inajulikana ni ' Mwanaharakati ' halafu ni mwana CHADEMA mzuri hivyo anakukosha kwakuwa unafanana nae Kiitikadi. Tanzania itapiga hatua tu pale ' Unafiki ' huu wa aina yako utapungua au kuisha kabisa.