Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,553
Wanabodi,

Kama kawaida ya Jumamosi asubuhi, Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, leo, chini ya nguli Dotto Emmanuel Bulendu, wachangiaji ni Moses Mathew na Mansoor.

Kipindi kimeiponda media ya Tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya uchambuzi wa kina, yaani, news analysis, kazi kubwa media ya Tanzania inayofanya ni kuhabarisha tuu jamii kuhusu matukio, lakini hakuna media zinazofanya news analysis kupitia kitu kinachoitwa interpretative journalism, kuwaeleza wasomaji, watazamaji na wasikilizaji kufanya evaluation ya hizo habari zina maana gani kwa taifa letu.

Wakatolea mfano mabadiliko ya baraza la mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni, media zote zimeishia kuhabarisha tuu fulani na fulani wameteuliwa, lakini hakuna media iliyofanya any news analysis, kuwaeleza Watanzania, what does that mean.

Endelea kufuatilia.

Paskali
 
Wamesema media zote zimeishia kutangaza tuu hao mawaziri na wizara zao, lakini hakuna analysis yoyote ya baraza hilo, rais Magufuli alipoingia, alijinasibu kuunda serikali ndogo kupunguza gharama, jee ni kweli baraza la mawaziri la Magufuli limepunguza gharama?, kuongezwa kwa mawaziri na manaibu 6, kunamaanisha nini kwa upande wa kuongezeka kwa gharama za uendeshaji?.

P.
 
Aisee kwa asilimia kubwa ni kweli, lakini pengine tujiulize je ni kweli havina uwezo, au mfumo uliopo huenda ni mgumu kufanya an unbiased news analysis bila kutishiwa kufungiwa au some of the analysers kuishia korokoroni!

For me I'm afraid, hii factor ya mwisho ndo impeding factor.

The question then, what should be done? Elimu haijitoshelezi, uoga, nan atamfunga paka kengele,..ukiangalia hakuna jibu, na unarudi kule kule KATIBA ndo suluhisho LA kila kitu! Nitarudi @ Pascal Mayalla
 
Tanzania tuna wale waandihshi wa habari wengi wenye elimu ya hapa na pale so kutegemea watu wa aina hiyo wafanye uchambuzi wa kina wa habari fulani ni sawa na kusubiri chungwa chini ya mwembe. Vyombo vingi vya habari hapa nchini vimeajiri watu wa aina hiyo wengi sasa uchambuzi wa kina wanatoa wapi zaidi ya kutangaza na kutoa habari tu bila kuifanyia uchambuzi habari husika.
 
Wanabodi,

Kama kawaida ya Jumamosi asubuhi, Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, leo, kipindi kimeiponda media ya Tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya news analysis, kazi kubwa media ya Tanzania inayofanya ni kuhabarisha tuu jamii kuhusu matukio, lakini hakuna media zinazofanya news analysis kupitia kitu kinachoitwa interpretative journalism, kuwaeleza wasomaji, watazamaji na wasikilizaji kufanya evaluation ya hizo habari zina maana gani kwa taifa letu.

Wakatolea mfano mabadiliko ya baraza la mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni, media zote zimeishia kuhabarisha tuu fulani na fulani wameteuliwa, lakini hakuna media iliyofanya any news analysis, kuwaeleza Watanzania, what does that mean.

Endelea kufuatilia.

Paskali
Wapo sahihi kikwete aliwaita makanjanja na mkapa aliua kabisa!
 
Pascal unaonaje uchambuzi na akili ya Moses Methew. Kwakweli sijui huyu jamaa anachongea. Simuelewi anasimamia nini? Nimechoka labda unisaidie. Maana naona anapambana na Mansul bila hoja muhimu.
Mkuu Mromboo, kwenye topic hii, kichwa ni Mansoor, Moses Methew kwenye topic hii ni hakuna kitu, ni mtupu, mweupe kabisa!.

P.
 
Hayo yote yanawezekana, na wanajua wanaweza kufanya hivyo...

Shida ni kwamba wanapangiwa nini cha kuchambua, kusema au kuonesha...

Mathalan tukio linaweza kutokea Tanzania, vyombo vya hapa hapa vikalitangaza kawaida sana na kwa woga, ona sasa vyombo vya nje vitakavyochambua...


Cc: mahondaw
 
Wanabodi,

Kama kawaida ya Jumamosi asubuhi, Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, leo, kipindi kimeiponda media ya Tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya news analysis, kazi kubwa media ya Tanzania inayofanya ni kuhabarisha tuu jamii kuhusu matukio, lakini hakuna media zinazofanya news analysis kupitia kitu kinachoitwa interpretative journalism, kuwaeleza wasomaji, watazamaji na wasikilizaji kufanya evaluation ya hizo habari zina maana gani kwa taifa letu.

Wakatolea mfano mabadiliko ya baraza la mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni, media zote zimeishia kuhabarisha tuu fulani na fulani wameteuliwa, lakini hakuna media iliyofanya any news analysis, kuwaeleza Watanzania, what does that mean.

Endelea kufuatilia.

Paskali
Hilo mbona liko wazi kabisa..na yote hayo yanatokana na Elimu na hiyo inawasababishia kutokuwa na Critical thinking and Reasoning capacity..Ukisioma habari au kusikiliza vyombo vya nje na ukienda kuangalia biography za waandishi unawona ya kuwa walikuwa na uwezo mkubwa na wamesoma uandishi wa habari au amesomea kile kitu ambacho anakichambua.. kwa level ya advace degree na siyo BA tupu. .. Sasa tukija kwetu wengi Elimu zao za kuunganisha au ana diploma.na kama basi ana degree na journalism na mass communication hiyo itakuwa hana budi na ameichagua kwa sababu hawezi kupata kozi nyengine..
Sasa usitegemee miracle kwa vyombo vya habari kama hivyo..Insuch away chombo cha habari hakijui tofauti ya Reports/news and opinions
 
Bad enough watu wenye uwezo huo mpo kimya kwa makusudi ama kwa sababu mnazozijua wenyewe...ndugu Pascal nakumbuka siku moja mliitwa ikulu ikiwa ni mara ya kwanza kujumuishwa ukiwa mwandishi binafsi ila mind you uliuliza swali la Terra bite moja wakati wachache waliochaguliwa waliuliza tu tuswali twa kb less than MB.
 
Back
Top Bottom