Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
taarifa za ajali ya meli leo Zanzibar imechelewa kutufikia watanzania, muda mwingi vyombo hivi vinapiga muziki kama vile Tz ni nchi ya musician....
nimeangalia chanel tena habari,wameshidwa hata kutupa picha eti wanaongea kwa simu na mwandishi wa habari(munir zakaria),mnataka kwenda digital wakati hata analog hamuiwezi..........
nimeangalia chanel tena habari,wameshidwa hata kutupa picha eti wanaongea kwa simu na mwandishi wa habari(munir zakaria),mnataka kwenda digital wakati hata analog hamuiwezi..........