Charles Biggello
Member
- Oct 15, 2013
- 9
- 16
Habari za asubuhi wadau,
Ni muda mrefu sana nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa serikali mpya ya awamu ya 5 Tanzania hususani katika kusimamia haki za watanzania ikiwemo ya kupata taarifa na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli naona hoja zinapishana na sioni nguvu za wasomi wetu katika kuishauri serikali hii na kama ipo basi si ya kuzalisha matokeo chanya miaka 5 ijayo hii ni hatari sana.
Nimezipokea kwa masikitiko taarifa za kutorusha live bunge kutoka vyombo mbalimbali vya habari ambvyo vinaoperate binafsi. Na sasa watatakiwa kuchukua signals kutoka TBC ambao kwa mujibu wa taarifa nilizonazo wameanzisha studio maalum ya kurusha matangzo inayopatikana bungeni dodoma.
Lakini pia hiyo studio itarusha live sehemu/kipindi cha maswali na majibu sana. Hoja ya msingi mwanzoni ilikuwa pesa nyingi zinapotea kurusha live matangazo lakini zipo taasisi zilizotaka kufund hzo broadcasting costs still serikali inaonekna haiko interested???? Labda wanataka hizo pesa wapewe watengeneze barabara
Maoni yangu Rais magu anaonekna ni mpenda haki kwa watanzania je haoni watu kutopata taarifa za bungeni yanayojili kunadumiza haki? Na je uhuru wa vyombo vya habari ambavyo vilitumika kiasi kikubwa kumcampaign na kumfanya aingie madarakani vitakuwaje? TBC ni shirika la umma ambalo kamwe haliwezi kuuma serikali kwa kufuata editoral policy walizonazo.
Ni muda mrefu sana nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa serikali mpya ya awamu ya 5 Tanzania hususani katika kusimamia haki za watanzania ikiwemo ya kupata taarifa na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli naona hoja zinapishana na sioni nguvu za wasomi wetu katika kuishauri serikali hii na kama ipo basi si ya kuzalisha matokeo chanya miaka 5 ijayo hii ni hatari sana.
Nimezipokea kwa masikitiko taarifa za kutorusha live bunge kutoka vyombo mbalimbali vya habari ambvyo vinaoperate binafsi. Na sasa watatakiwa kuchukua signals kutoka TBC ambao kwa mujibu wa taarifa nilizonazo wameanzisha studio maalum ya kurusha matangzo inayopatikana bungeni dodoma.
Lakini pia hiyo studio itarusha live sehemu/kipindi cha maswali na majibu sana. Hoja ya msingi mwanzoni ilikuwa pesa nyingi zinapotea kurusha live matangazo lakini zipo taasisi zilizotaka kufund hzo broadcasting costs still serikali inaonekna haiko interested???? Labda wanataka hizo pesa wapewe watengeneze barabara
Maoni yangu Rais magu anaonekna ni mpenda haki kwa watanzania je haoni watu kutopata taarifa za bungeni yanayojili kunadumiza haki? Na je uhuru wa vyombo vya habari ambavyo vilitumika kiasi kikubwa kumcampaign na kumfanya aingie madarakani vitakuwaje? TBC ni shirika la umma ambalo kamwe haliwezi kuuma serikali kwa kufuata editoral policy walizonazo.