Leo nilijitahidi kupitia pitia vyombo vya habari yakiwemo magazeti na television..... nikitajia kupata taarifa zozote kuhusu uchaguzi wa jimbo dogo la uzini......nikashangaa kukuta hakuna coverage yoyote ya uchaguzi wa huko Uzini......nilishangazwa zaidi na taarifa kwa ufupi ya TBC1 eti wameweza kutangaza habari ya kifo cha Witney Huston wa marekani lakini wameshindwa kusema chochote kuhusu uchaguzi wa hapo pemba!!!!!!!!!!!!halil hii hari inatisha!