ndizi mbaya
Member
- Jul 16, 2019
- 34
- 9
husika na kichwa cha habari hapo juu,
nimemaliza kidato cha nne mwaka jana,namshukuru mungu matokeo yangu ni mazuri.Nina mpango wa kwenda chuo hapo mwakani,shida niliyo nayo ni kuwa mpaka sasa sijajua vyeti vyetu vitatoka mwezi gani. wajuvi tafadhali msaada wenu
nimemaliza kidato cha nne mwaka jana,namshukuru mungu matokeo yangu ni mazuri.Nina mpango wa kwenda chuo hapo mwakani,shida niliyo nayo ni kuwa mpaka sasa sijajua vyeti vyetu vitatoka mwezi gani. wajuvi tafadhali msaada wenu