mkayala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 555
- 72
Habar wadau,
Nina wazo/maoni. Kwa nini kusingekuwepo utaratibu ambao utahakikisha mtu anapofariki basi hata vyeti vyake visitumike tena? Kama vile vyeti kurudishwa tena BARAZA/CHUO... Inauma sana nina ndugu yangu alimaliza form six na kutaka kujiunga chuo ila kwa bahati mbaya akafariki. Inatia uchungu sana kuviona vyeti vyake...
Nina wazo/maoni. Kwa nini kusingekuwepo utaratibu ambao utahakikisha mtu anapofariki basi hata vyeti vyake visitumike tena? Kama vile vyeti kurudishwa tena BARAZA/CHUO... Inauma sana nina ndugu yangu alimaliza form six na kutaka kujiunga chuo ila kwa bahati mbaya akafariki. Inatia uchungu sana kuviona vyeti vyake...