Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 536
Haiingii akilini kuona watu waliosoma wakijaribu kughilibu wasiopata fursa ya kusoma na kutumia rasilimali za hao wasiosoma (wengi) kwa ajili ya kujitafutia umaarufu usio na maana.
Wanasema tutumie vyandarua kila tunapolala... na mimi natumia masaa machache tu kitandani!!!! Hii ni akili kweli au matope? Kinachoingia akilini ni kutumia chandarua au kuua mazalia ya mbu? Wadanganyika hamuoni kuwa huu ni mradi wa wakubwa na ndiyo maana wanaupigia sana debe? mchana wote kazini, mbu, sebuleni -mbu, chooni-mbu, jikoni -mbu, kila mahali mbu mpaka kwa wakubwa sasa ...wanapata malaria 150. Hivi angekuwa kilaza mimi si ningeshakufa?
Huu ni ujumbe kwa JK aache kutudanganya kwa maslahi yake binafsi na watoto wake.
Nawasilisha
Wanasema tutumie vyandarua kila tunapolala... na mimi natumia masaa machache tu kitandani!!!! Hii ni akili kweli au matope? Kinachoingia akilini ni kutumia chandarua au kuua mazalia ya mbu? Wadanganyika hamuoni kuwa huu ni mradi wa wakubwa na ndiyo maana wanaupigia sana debe? mchana wote kazini, mbu, sebuleni -mbu, chooni-mbu, jikoni -mbu, kila mahali mbu mpaka kwa wakubwa sasa ...wanapata malaria 150. Hivi angekuwa kilaza mimi si ningeshakufa?
Huu ni ujumbe kwa JK aache kutudanganya kwa maslahi yake binafsi na watoto wake.
Nawasilisha