vijana ni bendera tu!! akili za kushikiwa na wazee!! ngoja wazee watimkie kwenye udongo if you are lucky alive, you will see! we hujawahi kuona mzee mkoloni akifa vijana wake wanavyotumbua, kuhonga na kuuza na kugawana mali zake? akili za wazee na vijana ni maji na mafuta!!! vijana hawakuchapwa fimbo na mkoloni kulima barabara Manyoni Singida!!!sikuzui we endelea kupiga kelele sie tunaenda shimoni kupiga mawe Mererani watoto wapige menu!
Wewe mkuu huzeeki?sarakasi zote tunazoshuhudia za ukiukwaji wa katiba, wizi , kuviziana, ubabe , ufisadi kutekana , kuuana, kutukanana, kutesana and the like zitakufa a natural death in 50 years baada ya genge la wahusika wote kufukiwa na udongo, i wish wabongo wangetulia tu na kutafuta mkate wa familia, this is my theory of generation/ population! yaani huwa nacheka sana wabongo wakilalamikia chochote from the state!!! imani yangu hakuna ambacho kelele na mayowe vitabadilisha sababu we deal with the same manifesto , the same heads/brains/minds in power for almost 58 years now, si wanazeeka na kuchoka hamna macho? wengine hata kuongea kwa kitetemeshi!!wengine kutembea kwa shida! wengine wako kwenye coma! wengine spana mkononi kila siku wako India!!! for me kulalamika is just a waste of energy and time!! wenye akili watanielewa!!!
Haitoshi kujishusha,AJIUZURU Mara moja. Hatufai kabisa,nchi za wenzetu wenye kujua haki zao muda huu Mgogo ndugai keshapewa shinikizo kubwa AJIUZURU,tena kwa maandamano makubwa. Nchi hii wananchi tumelogwa na ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani,kuliko kukaa kimya,ni afadhali hata kulalamika kidogo.Ukikaa kimya sana,kwanza wanaweza hata kuongeza "dozi" ya hayo yanayolalamikiwa wakidhani mnayapenda,kuyaunga mkono au hata kuyafurahia na kutamani waongeze dozi.Kusema usubiri kwa sababu wanazeeka na kuja kutokomea,tatizo ni kuwa,hawazeeki tu wao,bali na walala hoi pia-Tena mbaya zaidi,walala hoi ndio wanazeeka kwa haraka zaidi,kuchakaa na kutokomea kwa spidi na kwa wingi kuliko "hao".sarakasi zote tunazoshuhudia za ukiukwaji wa katiba, wizi , kuviziana, ubabe , ufisadi kutekana , kuuana, kutukanana, kutesana and the like zitakufa a natural death in 50 years baada ya genge la wahusika wote kufukiwa na udongo, i wish wabongo wangetulia tu na kutafuta mkate wa familia, this is my theory of generation/ population! yaani huwa nacheka sana wabongo wakilalamikia chochote from the state!!! imani yangu hakuna ambacho kelele na mayowe vitabadilisha sababu we deal with the same manifesto , the same heads/brains/minds in power for almost 58 years now, si wanazeeka na kuchoka hamna macho? wengine hata kuongea kwa kitetemeshi!!wengine kutembea kwa shida! wengine wako kwenye coma! wengine spana mkononi kila siku wako India!!! for me kulalamika is just a waste of energy and time!! wenye akili watanielewa!!!
vijana ni bendera tu!! akili za kushikiwa na wazee!! ngoja wazee watimkie kwenye udongo if you are lucky alive, you will see! we hujawahi kuona mzee mkoloni akifa vijana wake wanavyotumbua, kuhonga na kuuza na kugawana mali zake? akili za wazee na vijana ni maji na mafuta!!! vijana hawakuchapwa fimbo na mkoloni kulima barabara Manyoni Singida!!!sikuzui we endelea kupiga kelele sie tunaenda shimoni kupiga mawe Mererani watoto wapige menu!
wanaoweza kuyamaliza mambo ya mivutano kiurahisi na haraka ni wanyenyekevu tu.