Vyama vya upinzani hebu tusemezane kidogo

Vyama vya upinzani hebu tusemezane kidogo

APA CHICAGO

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
259
Reaction score
292
Mwaka huu hapo October kutakuwa na uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ninaimani mtasimamisha wagombea wa urais, wabunge na madiwani.

Nataka tusemezane jambo moja kubwa kwa kuwa wabunge na madiwani wa upinzani baada ya uchaguzi wanahamia CCM hatimaye taifa linaingia gharama za kurudia uchaguzi mwingine je? Kuna haja ya kuwachagua watu hao ambao huko mbele watahamia CCM?

Najua kuna watu watakuja hapa na hoja kuwa ooh wananunuliwa.

Yes kama wananunuliwa kumbe hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanapokea rushwa na kama wanapokea rushwa wanaweza pia kutoa rushwa hivyo hawafai kuwa viongozi. Lakini pia yote wanayokutana nayo ndiyo changamoto za kazi yao hivyo walipaswa wazikabili sio kuzikimbia.

Mfano Hayati mwalimu JK Nyerere angeogopa changamoto za kesi za uchochozi nakadhalika wakati wa kudai Uhuru wa nchi yetu pengine tungalikuwa hadi leo tuko chini ya UKOLONI wa watu weupe.

Mbaya zaidi kuna wabunge wa upinzani hatujawahi ona wanatoa michango ya maana bungeni lakini wanapotaka kuhamia CCM au Chama kingine ndo wanasikika hii sio sawa.

Tujiulize swali fikilishi hivi hao wabunge walichaguliwa ili Wakawasemee wananchi matatizo yao au Wakatangaze wanahama chama? Je, haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii?

Imagine hivi hawa wangeitisha mkutano wa waandishi wa habari wakasema hayo nje na bunge wangepungukiwa nini?
Tuna tatizo kubwa sana kwani kuna watu wanatumia kodi ya wananchi vibaya. Kwa mwenendo huu kama taifa
bado tunasafari ndefu sana kufika tunakotaka kufika.

Mtu hata asemeje Mimi bado nasema wanasiasa hama hama hawa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu maana wao matumbo yao ni bora kuliko kuwatumikia wananchi. Tujiulize kwani akina Zitto, Msigwa, Mdee Heche na wengine wengi wao hawajawahi shawishiwa wahame vyama vyao Lakini mbona hadi leo bado hawajahama vyama vyao.

Ushauri wa bure ni heri tuwapigie kura CCM washinde ili tuepuke gharama za kurudia uchaguzi na kupogezeana muda wa kupanga foleni.
 
Mwaka huu hapo October kutakuwa na uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ninaimani mtasimamisha wagombea wa urais, wabunge na madiwani.

Nataka tusemezane jambo moja kubwa kwa kuwa wabunge na madiwani wa upinzani baada ya uchaguzi wanahamia CCM hatimaye taifa linaingia gharama za kurudia uchaguzi mwingine je? Kuna haja ya kuwachagua watu hao ambao huko mbele watahamia CCM?

Najua kuna watu watakuja hapa na hoja kuwa ooh wananunuliwa.

Yes kama wananunuliwa kumbe hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanapokea rushwa na kama wanapokea rushwa wanaweza pia kutoa rushwa hivyo hawafai kuwa viongozi. Lakini pia yote wanayokutana nayo ndiyo changamoto za kazi yao hivyo walipaswa wazikabili sio kuzikimbia.

Mfano Hayati mwalimu JK Nyerere angeogopa changamoto za kesi za uchochozi nakadhalika wakati wa kudai Uhuru wa nchi yetu pengine tungalikuwa hadi leo tuko chini ya UKOLONI wa watu weupe.

Mbaya zaidi kuna wabunge wa upinzani hatujawahi ona wanatoa michango ya maana bungeni lakini wanapotaka kuhamia CCM au Chama kingine ndo wanasikika hii sio sawa.

Tujiulize swali fikilishi hivi hao wabunge walichaguliwa ili Wakawasemee wananchi matatizo yao au Wakatangaze wanahama chama? Je, haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii?

Imagine hivi hawa wangeitisha mkutano wa waandishi wa habari wakasema hayo nje na bunge wangepungukiwa nini?
Tuna tatizo kubwa sana kwani kuna watu wanatumia kodi ya wananchi vibaya. Kwa mwenendo huu kama taifa
bado tunasafari ndefu sana kufika tunakotaka kufika.

Mtu hata asemeje Mimi bado nasema wanasiasa hama hama hawa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu maana wao matumbo yao ni bora kuliko kuwatumikia wananchi. Tujiulize kwani akina Zitto, Msigwa, Mdee Heche na wengine wengi wao hawajawahi shawishiwa wahame vyama vyao Lakini mbona hadi leo bado hawajahama vyama vyao.

Ushauri wa bure ni heri tuwapigie kura CCM washinde ili tuepuke gharama za kurudia uchaguzi na kupogezeana muda wa kupanga foleni.

Mimi naona tatizo ni madaraka ya urais yanayotumika vibaya. Tukiweka kwenye katiba yetu kuwa rais anashitakiwa, huo utakuwa mwisho wa hizi siasa za kishenzi unazoziona.
 
Hawatakuelewa hata uwachape fimbo.
Ninachotaka wanijibu kwa hoja kuwa watu hawa, kama wanahongwa na kuwasaliti wananchi wao waliounguwa jua kupanga mstari ili wawapigie kura kwangu Mimi hawafai wanatamaa za madaraka na fedha zilizopitikiza.
Pili nimeweka mfano wa Hayati JK Nyerere huyu alikumbana na magumu mbona hakutusaliti watanzania.
Kama mfano huo hautoshi Hayati Nelson Mandela hadi alifungwa mbona hakuwasaliti watu wa Africa kusini.Kama hiyo haitoshi Mbowe na Esther Matiko mbona pamoja na yote magumu waliyopitia hawakuwasaliti wapiga kura wao.
 
Mwaka huu hapo October kutakuwa na uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ninaimani mtasimamisha wagombea wa urais, wabunge na madiwani.

Nataka tusemezane jambo moja kubwa kwa kuwa wabunge na madiwani wa upinzani baada ya uchaguzi wanahamia CCM hatimaye taifa linaingia gharama za kurudia uchaguzi mwingine je? Kuna haja ya kuwachagua watu hao ambao huko mbele watahamia CCM?

Najua kuna watu watakuja hapa na hoja kuwa ooh wananunuliwa.

Yes kama wananunuliwa kumbe hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanapokea rushwa na kama wanapokea rushwa wanaweza pia kutoa rushwa hivyo hawafai kuwa viongozi. Lakini pia yote wanayokutana nayo ndiyo changamoto za kazi yao hivyo walipaswa wazikabili sio kuzikimbia.

Mfano Hayati mwalimu JK Nyerere angeogopa changamoto za kesi za uchochozi nakadhalika wakati wa kudai Uhuru wa nchi yetu pengine tungalikuwa hadi leo tuko chini ya UKOLONI wa watu weupe.

Mbaya zaidi kuna wabunge wa upinzani hatujawahi ona wanatoa michango ya maana bungeni lakini wanapotaka kuhamia CCM au Chama kingine ndo wanasikika hii sio sawa.

Tujiulize swali fikilishi hivi hao wabunge walichaguliwa ili Wakawasemee wananchi matatizo yao au Wakatangaze wanahama chama? Je, haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii?

Imagine hivi hawa wangeitisha mkutano wa waandishi wa habari wakasema hayo nje na bunge wangepungukiwa nini?
Tuna tatizo kubwa sana kwani kuna watu wanatumia kodi ya wananchi vibaya. Kwa mwenendo huu kama taifa
bado tunasafari ndefu sana kufika tunakotaka kufika.

Mtu hata asemeje Mimi bado nasema wanasiasa hama hama hawa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu maana wao matumbo yao ni bora kuliko kuwatumikia wananchi. Tujiulize kwani akina Zitto, Msigwa, Mdee Heche na wengine wengi wao hawajawahi shawishiwa wahame vyama vyao Lakini mbona hadi leo bado hawajahama vyama vyao.

Ushauri wa bure ni heri tuwapigie kura CCM washinde ili tuepuke gharama za kurudia uchaguzi na kupogezeana muda wa kupanga foleni.
Hii ndiyo taabu ya kufikiri ukitumia Makalio!!!!
 
Mwaka huu hapo October kutakuwa na uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ninaimani mtasimamisha wagombea wa urais, wabunge na madiwani.

Nataka tusemezane jambo moja kubwa kwa kuwa wabunge na madiwani wa upinzani baada ya uchaguzi wanahamia CCM hatimaye taifa linaingia gharama za kurudia uchaguzi mwingine je? Kuna haja ya kuwachagua watu hao ambao huko mbele watahamia CCM?

Najua kuna watu watakuja hapa na hoja kuwa ooh wananunuliwa.

Yes kama wananunuliwa kumbe hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanapokea rushwa na kama wanapokea rushwa wanaweza pia kutoa rushwa hivyo hawafai kuwa viongozi. Lakini pia yote wanayokutana nayo ndiyo changamoto za kazi yao hivyo walipaswa wazikabili sio kuzikimbia.

Mfano Hayati mwalimu JK Nyerere angeogopa changamoto za kesi za uchochozi nakadhalika wakati wa kudai Uhuru wa nchi yetu pengine tungalikuwa hadi leo tuko chini ya UKOLONI wa watu weupe.

Mbaya zaidi kuna wabunge wa upinzani hatujawahi ona wanatoa michango ya maana bungeni lakini wanapotaka kuhamia CCM au Chama kingine ndo wanasikika hii sio sawa.

Tujiulize swali fikilishi hivi hao wabunge walichaguliwa ili Wakawasemee wananchi matatizo yao au Wakatangaze wanahama chama? Je, haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii?

Imagine hivi hawa wangeitisha mkutano wa waandishi wa habari wakasema hayo nje na bunge wangepungukiwa nini?
Tuna tatizo kubwa sana kwani kuna watu wanatumia kodi ya wananchi vibaya. Kwa mwenendo huu kama taifa
bado tunasafari ndefu sana kufika tunakotaka kufika.

Mtu hata asemeje Mimi bado nasema wanasiasa hama hama hawa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu maana wao matumbo yao ni bora kuliko kuwatumikia wananchi. Tujiulize kwani akina Zitto, Msigwa, Mdee Heche na wengine wengi wao hawajawahi shawishiwa wahame vyama vyao Lakini mbona hadi leo bado hawajahama vyama vyao.

Ushauri wa bure ni heri tuwapigie kura CCM washinde ili tuepuke gharama za kurudia uchaguzi na kupogezeana muda wa kupanga foleni.
Mwanzo wa hoja yako nilitaka kukuelewa, umekujavurunda kwenye ushauri.

Kuipigia ccm ni sawa na kukimbia changamoto ambazo umesema wengine wangezikabili.

Pia mpaka unaandika bandiko lako bado hujaelewa kuwa ccm ndiyo tatizo kwenye nchi hii!!

Ndiyo maana hujaweza kuishauri ccm ikabiliane na changamoto ya vyama vingi kwa sera na utekelezaji bora wa sera zake kwa wananchi,kuliko kupiga vita vya wazi wazi,kuumiza watu,kununua watu kwa fedha za uma
Kuanzi slaa,lipumba na sasa mbatia,ukiacha wabunge.

Unafikiri kwa umasikini wa watanzania,mtu hajawaza milioni 400,leo anapewa kwa kuhama chama tu,atakosa kuhama?
ALIYETULOGA WATANZANIA KISHAKUFA,HATUNA WA KUTUOPOA.
 
Mwaka huu hapo October kutakuwa na uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ninaimani mtasimamisha wagombea wa urais, wabunge na madiwani.

Nataka tusemezane jambo moja kubwa kwa kuwa wabunge na madiwani wa upinzani baada ya uchaguzi wanahamia CCM hatimaye taifa linaingia gharama za kurudia uchaguzi mwingine je? Kuna haja ya kuwachagua watu hao ambao huko mbele watahamia CCM?

Najua kuna watu watakuja hapa na hoja kuwa ooh wananunuliwa.

Yes kama wananunuliwa kumbe hawafai hata kidogo kuwa viongozi kwani wanapokea rushwa na kama wanapokea rushwa wanaweza pia kutoa rushwa hivyo hawafai kuwa viongozi. Lakini pia yote wanayokutana nayo ndiyo changamoto za kazi yao hivyo walipaswa wazikabili sio kuzikimbia.

Mfano Hayati mwalimu JK Nyerere angeogopa changamoto za kesi za uchochozi nakadhalika wakati wa kudai Uhuru wa nchi yetu pengine tungalikuwa hadi leo tuko chini ya UKOLONI wa watu weupe.

Mbaya zaidi kuna wabunge wa upinzani hatujawahi ona wanatoa michango ya maana bungeni lakini wanapotaka kuhamia CCM au Chama kingine ndo wanasikika hii sio sawa.

Tujiulize swali fikilishi hivi hao wabunge walichaguliwa ili Wakawasemee wananchi matatizo yao au Wakatangaze wanahama chama? Je, haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi wa nchi hii?

Imagine hivi hawa wangeitisha mkutano wa waandishi wa habari wakasema hayo nje na bunge wangepungukiwa nini?
Tuna tatizo kubwa sana kwani kuna watu wanatumia kodi ya wananchi vibaya. Kwa mwenendo huu kama taifa
bado tunasafari ndefu sana kufika tunakotaka kufika.

Mtu hata asemeje Mimi bado nasema wanasiasa hama hama hawa ni tatizo kubwa kwenye nchi yetu maana wao matumbo yao ni bora kuliko kuwatumikia wananchi. Tujiulize kwani akina Zitto, Msigwa, Mdee Heche na wengine wengi wao hawajawahi shawishiwa wahame vyama vyao Lakini mbona hadi leo bado hawajahama vyama vyao.

Ushauri wa bure ni heri tuwapigie kura CCM washinde ili tuepuke gharama za kurudia uchaguzi na kupogezeana muda wa kupanga foleni.
Suala LA kuwa wananunuliwa hakuna ubishi,wanapokea rushwa hakuna ubishi pia lakini wanaotoa rushwa hii mbona hatuwajadili.Tunakumbuka video za Nassari na Munyeti na madiwani,tuliona jinsi watoa rushwa walivyotuzwa na wapokeaji walivyopatiwa second chances na kugombea Ubunge,Udiwani ule ule ambao walijiuzulu na wengine wakapewa hadi uwaziri/katibu mkuu/wakuu wa mikoa,wilaya,RAS,DAS,DED nk.Je,hakuna rushwa hapo?
Je, chanzo cha hamahama siyo watoa rushwa au wapokeaji katika mazingira kama hayo?
Hii ni Rushwa ya Kimfumo,kama aina hii mpya ya rushwa haiwezi kuondolewa, Tanzania tuliyokuwa tunaifahamu itakuwa imekwisha.
Tujadili tukiwa bila mihemko,vinginevyo tutajikuta tunapambana na matokeo badala ya chanzo.
 
Kuna
Yaliyokuwa nyuma ya pazia ni mazito sana. Maulid Mtulia aliliweka wazi sana baada ya kuondoka CUF

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kuna watu walitishwa na mtutu, kuna waliolawitiwa, kuna waliotekwa, kuna walioahidiwa hela na vyeo, kuna mambo ya hovyo yalifanyika. Nyuma ya pazia
 
Kunielewa hapa inahitaji hakili nyingi na moderate minded sio rahisi kunielewa hata kdgo lkn nitatoa mfano.
Hivi unamchagua Mbatia kuwa mbunge wa upinzani kweli uko serious?? Umchague Lwakatale kuwa Mbunge wa upinzani ? Mwenye fikira tume ya uchaguzi iliyopo haina tatizo uko serious?.
Tukiwachagua wote CCM itatusaidia kuachana na madalali wa siasa ambao wameingia kwenye siasa kwa ajili ya masrahi yao binafisi hutaona MTU anasimama bungeni anasema bunge likihitimishwa atahamia sijui wapi, hutaona baba mtu mzima Analia bungeni utazani alichaguliwa ili akalie bungeni.
 
Back
Top Bottom