Vyama vya siasa vimepewa ruzuku?

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,312
152,112
Naomba kujua kama vyama vya siasa vinavyopewa ruzuku na serikali vimepewa ruzuku na pia ningependa kujua vilistahili kupewa kiasi gani na mpaka sasa kila chama kimepewa kiasi gani na mara ya mwisho malipo haya kwa kila chama yamefanyika lini?

Nauliza hivi kwasababu kuna vyuo tulisikia vimesitisha kuwapa wahitimu vyeti kwasababu Bodi ya Mikopo ilikuwa haijalipa ada za wanafunzi waliomaliza masomo mwaka jana.

Tumesikia pia taarifa zisizo rasimi kuwa OC katika Halmashauri zetu mbalimbali ni tatizo, kuna kipindi madawa yaliadimika,wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kusitishiwa ufadhili na serikali,n.k.
 
Naomba kujua kama vyama vya siasa vinavyopewa ruzuku na serikali vimepewa ruzuku na pia ningependa kujua vilistahili kupewa kiasi gani na mpaka sasa kila chama kimepewa kiasi gani na mara ya mwisho malipo haya kwa kila chama yamefanyika lini?
Kama Lipumba kalamba zaidi ya milioni 300 januari hii, Mbowe asiwazingue mwambieni alipe pango.
 
Yani ishu ya pango imekuganya uje ufungue uzi mwingine? Hilo swali si ungeuliza hapo ufipa?
 
Naomba kujua kama vyama vya siasa vinavyopewa ruzuku na serikali vimepewa ruzuku na pia ningependa kujua vilistahili kupewa kiasi gani na mpaka sasa kila chama kimepewa kiasi gani na mara ya mwisho malipo haya kwa kila chama yamefanyika lini?

Nauliza hivi kwasababu kuna vyuo tulisikia vimesitisha kuwapa wahitimu vyeti kwasababu Bodi ya Mikopo ilikuwa haijalipa ada za wanafunzi waliomaliza masomo mwaka jana.

Tumesikia pia taarifa zisizo rasimi kuwa OC katika Halmashauri zetu mbalimbali ni tatizo, kuna kipindi madawa yaliadimika,wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kusitishiwa ufadhili na serikali,n.k.
mkuu juzi tu lipumba kalamba hela unadhani chadema hawajapewa ???
 
Naomba kujua kama vyama vya siasa vinavyopewa ruzuku na serikali vimepewa ruzuku na pia ningependa kujua vilistahili kupewa kiasi gani na mpaka sasa kila chama kimepewa kiasi gani na mara ya mwisho malipo haya kwa kila chama yamefanyika lini?

Nauliza hivi kwasababu kuna vyuo tulisikia vimesitisha kuwapa wahitimu vyeti kwasababu Bodi ya Mikopo ilikuwa haijalipa ada za wanafunzi waliomaliza masomo mwaka jana.

Tumesikia pia taarifa zisizo rasimi kuwa OC katika Halmashauri zetu mbalimbali ni tatizo, kuna kipindi madawa yaliadimika,wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kusitishiwa ufadhili na serikali,n.k.
Wewe endelea kupiga porojo huku mtandaoni wakati mbowe anajilia ruzuku yake kimya kimya, swali la kizushi wewe ni mwanafamilia ya mbowe mpk upate hiyo ruzuku?
 
Naomba kujua kama vyama vya siasa vinavyopewa ruzuku na serikali vimepewa ruzuku na pia ningependa kujua vilistahili kupewa kiasi gani na mpaka sasa kila chama kimepewa kiasi gani na mara ya mwisho malipo haya kwa kila chama yamefanyika lini?

Nauliza hivi kwasababu kuna vyuo tulisikia vimesitisha kuwapa wahitimu vyeti kwasababu Bodi ya Mikopo ilikuwa haijalipa ada za wanafunzi waliomaliza masomo mwaka jana.

Tumesikia pia taarifa zisizo rasimi kuwa OC katika Halmashauri zetu mbalimbali ni tatizo, kuna kipindi madawa yaliadimika,wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kusitishiwa ufadhili na serikali,n.k.
Pia tumesikia Chadema wamelimbikiza deni la pango la jengo la HQ na wamepewa siku 14 kulipa vinginevyo wanatupiwa virago nje.Mwee ruzuku uko wapi?!!
 
Miongoni mwa sababu zilizonikosesha imani chadema ni pamoja na kushindwa kujenga jengo lenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani tz....hasa ukizingatia wanalamba ruzuku ndefu tu.
 
Wewe endelea kupiga porojo huku mtandaoni wakati mbowe anajilia ruzuku yake kimya kimya, swali la kizushi wewe ni mwanafamilia ya mbowe mpk upate hiyo ruzuku?

Mwache apige porojo anakimbizana na chama ambacho hakina mwelekeo....
 
Back
Top Bottom