commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Taarifa ya habari chanel Ten,sasa hivi viongozi wa vyama 12 vikiongozwa na paul kyara na lifa chipaka (Tadea).
wanalilia mgao wa ruzuku,na wanonekana kukumbwa na kiwewe cha vuguvugu la CDM la hivi karibuni.na wanaendeleza propaganda zilezile za CCM
Na wakati huo huo Wassira ameibukia mkutano wa madhehebu ya shia wimbo ukiwa ni uleule.
wanalilia mgao wa ruzuku,na wanonekana kukumbwa na kiwewe cha vuguvugu la CDM la hivi karibuni.na wanaendeleza propaganda zilezile za CCM
Na wakati huo huo Wassira ameibukia mkutano wa madhehebu ya shia wimbo ukiwa ni uleule.