Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,518
- 97,044
Niki igiza Napata nini mzee??Na Leo uko jf, wewe ilikuwa unaigiza
Niki igiza Napata nini mzee??Na Leo uko jf, wewe ilikuwa unaigiza
Haikuwa kawaida... Maana kati ya matunda ambayo nilikuwa sipendi ni pamoja na hili ila baada ya kufika mbeya sikuwa na namna.Mbona Kawaida mkuu....
Hajui ma flavour huyo.Mbona Kawaida mkuu....
Mzee ugali na viazi menu nzuri hiyo😁, so wengine ni uji wa chumvi tuUgali viazi ulaya 😁😁😁 IFM miaka tunaishi kigamboni magetoni hatuna ata mia tuna unga na viazi tu
Aisee 🤔Kuna muda nili kula maganda ya ndizi yaliyo tupwa
For real mzee,Aisee 🤔
Nilikaanga vitunguu nikawa nabugia.
Uliyaiba?Nili kunywa maji ya mchele mzee, wali osha mchele Waka yaacha Nika pita nayo.
Wali acha bakuli la maji hayo nje, mi nikanywa na kusepaUliyaiba?
😃😃😃