Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

kunywa maji ya chooni mara tatu kwa siku, ndan ya wiki moja dushelele wima 24 hrs, tatizo ni kwamba haitalala tena mpaka unakufa.
 
koradani za jogoo wa asili na unga wa habat soda
 
Makasu hii kitu inatoka jamuhuri ya demokrasia ya kongo ni balaa
 
juice ya....tikiti mixed with peanuts..natural viagra!
 
Kula mayai ya njiwa manga,uji wa mtama,michembe,karanga,miwa,ndizi,machungwa,sungwi pamoja asali.Mbona utaipenda!!!
 

Bandugu,tukirudi kwenye uhalisia. Mdau wa kawaida kama mimi na wengine wengi humu lets say anayepiga milo yake mitatu ya kawaida ya kitanzania, atajipimiaje hizo 95g za fat zinazotakiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…