
Ndiz maharage ndugu!Ndio msosi gani huo?
Mkuu si umeuliza vyakula vinavyokera nafsi? sasa acha tushuke ya moyoni yanayokeraUnasema kweli mkuu au umekuja kutamanisha watu?

Umesahau na ugali mbaaziKuna aina flani ya vyakula wengine tunakula tu ili tusife ila ingekuwa amri au uwezo unaruhusu hakika tusingevigusa kabisa,
Kwangu.
1:Ugari kabichi.
1:Ugari tembele.
Vingine vyote kwangu mwake tu natiririka navyo kama Wali Maharage.
Aisee nnavyoyapenda mimi,afu huwa sishibiMakande ni kisanga na nusu
Hapana kama ni ugenini nitajikaza nile ila kwangu siwezi pika.Hmmm!mm kwangu hivyo ni
![]()
Sizipendi tu mkuu, kama choroko zilikua zikipikwa home lazima chozi linitokeMbona hizo zote mboga tamu sana mkuu
