Vyakula vinavyoengeza hamu,nguvu ya kufanya mapenzi

Vyakula vinavyoengeza hamu,nguvu ya kufanya mapenzi

kuchangumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
724
Reaction score
290
Wataalamu wa mapenzi na wanasaikologia wanakubalia ni kwa kiasi gani vitu unavyokula vinahusiana na uwezo wako wa kufanya mapenzi. Kwa umakini kitu chochote kizuri kwa moyo wako ni kizuri kwa tendo la ndoa. Vifuatavyo ni vyakula vinavyoongeza hamu na nguvu ya kufanya mapenzi.

1. Spinach na mboga za Majani

Spinach ni chanzo kikubwa cha magnesium ambayo inasaidia kupanua mishipa ya damu, kwa mujibu wa watafiti wa Kijapani. Utiririkaji mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi (kama ulivyofundishwa) huongeza mhemuko kwa wanaume na wanawake.

2. Chai isiyo weka vitamu (Unsweetened tea)

Antioxidant catechin inayopatipatikana katika chai inasaidia mtiririka mzuri wa damu mwili mzima kwa hivyo kuongeze uwezo kwa kufanya tendo a uwezo wa ubongo, inasaidia kuongeze kumbukumbu pia umakini.

3. Machungwa

Wanaume wanaokula zaidi ya miligramu 200 ya vitamin C kwa siku wanaongeza wingi wa manii na uwezo wa mapenzi, hii inathibitishwa na utafiti ulofanywa na Chuo cha University of Texas Medical Branch.

4. Mayai

Mayai yana vitamin B6 na B5 ambayo inasaidiwa kubalance homoni na kupunguza stress na ni muhimu kwa afya ya viungo vya uzazi.

5. Wine Nyekundu (Red Wine)

Watafiti wa Italia hivi karibuni waligundua kuwa antioxidants na kilevi katika wine (divai) inaweze kusababisha kutengenezwa kwa nitric oxide katika damu ambayo husaidia kuta ya damu kupumzika kwahivyo kuongeza mtiririko wa damu katika viungo vya uzazi. Kunywa glasi moja au mbili tu, usizidishe. Ukinywa zaidi ya hapo utapunguza uwezo wako wa kufanya mapenzi.

6. Nyama

Nyama nyekundu ni chanzo kikubwa sana cha madini ya Zinc, madini ambayo ya husaidia kupunguza uzalishaji wa homoni iitwayo prolactin ambayo ina kiwango kikubwa sana katika kuchangia kupunguza uwezo wa kufanya mapenzi. Zinc pia ni madini muhimu katika kujenga misuli.

7. Maharage

Kula maharage kutakusaidi katika maisha yako ya mapenzi. Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa maharage ya madini ya potassium ambayo inasaidia ku-control presha ya damu na mapigo ya moyo, kitu ambacho utahitaji pindi moyo wako unaopanza kufanya kazi ya ziada wakati wa tendo.

8. Samaki wenye mafuta

9. Oats

10. Oysters and other shellfish

11. Dark chocolate

Chanzo;umbeamtupu
 
nitajaribu kuanzia sasa, ole wako nisione mabadiliko.


Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE]
 
Kitimoto na serengeti baridi wewee ! mimi binafsi huwa vinanipandishia mzuka, kama mama ngina yuko mbali, unaweza ukanikimbiza hospitali, hii ni kwa mimi tu
 
Kitimoto na serengeti baridi wewee ! mimi binafsi huwa vinanipandishia mzuka, kama mama ngina yuko mbali, unaweza ukanikimbiza hospitali, hii ni kwa mimi tu

Hawakukimbii kunako nafasi???
 
Hawakukimbii kunako nafasi???

Mama Ngina kesha nizoea mara nyingine huwa ananikataza nisitumie hii kitu lakini kitu roho inapenda niko radhi kula kwa kificho ila mziki wake atagundua tu maana mr. Qualifier akisimama wima ,mpaka asikie jogoo anawika ndo kwa ubishi anakubali kushusha bendera
 
umesahau chips na kuku wa kisasa.
 
supu ya pweza mkuu au imeandikwa hapo sema kiinglish kimenishinda labda.
 
Dawa yake kula nyama choma safi then unapga na bia zako 4au5 then shughul yake utafrah wew.hakikisha unae pumzi ya kutosha kumalzia safar Ya km30
 
dahhhh...mbona kalibia vyakula vyote sasa....ndo maana mapenzi yanarud dunia asilimia kubwa yawatz mboga yao ni maharage..wamebalisha sana nyama...kwa wanafunzi wanaokaa getto spinach na mayai vinahusika sanaaaa...
 
Ila hata ukila maziwa na korosho ming sperms zinakuwa ming sana unaweza kujaza kikombe ya kahawa yan!
 
Back
Top Bottom