Duuuh hivyo kula mwenyeweChoroko
Maziwa mgando
Kabeji
Matembere
Na matiki maji
Nachokwambia na uhakika nacho hivo ndivyo vyakula vya uponyaji niaminiDuuuh hivyo kula mwenyewe
Nakuamin kbsa lkn siwez aiseeNachokwambia na uhakika nacho hivo ndivyo vyakula vya uponyaji niamini
Tena wawe kuku kienyeji, sio hawa wanaokuzwa kwa wiki chache sambamba na madawa kadhaa.Kuku
Atakuwa anashamba la maboga huyu anatafuta watejaSasa itabidi tusile maana umetaja vyote. Ebu pendekeza sasa tule vipi.
Achana na wazee, mimi mwenyewe wanisamehe tu.Kwenye nyama mtanisamehe.
Hivi espy wale Wazee kule kwenu unaweza kuwashawishi waache kula nyama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matabibu yaani madaktari ndo wanywa pombe waliokubuhu na wana vitambi mpka kunyoa vuzi hawawezi! Ukiwakuta bar ndo waagizaji wakubwa wa nyama choma!Hio ndio yenyewe Sasa mtafute tabibu yoyote atakueleza