figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 8, 2011 #1 ni jioni,umemmiss umpendae,unaamua kwenda sehemu kupata soft drink ili upoteze mawazo na mda.unafungua kinywaji chako ndani ya kizibo unakutana na neno VUTA HISIA ZAKO!.yaani unalazimishwa kuvuta hisia!?naudhika sana.mia
ni jioni,umemmiss umpendae,unaamua kwenda sehemu kupata soft drink ili upoteze mawazo na mda.unafungua kinywaji chako ndani ya kizibo unakutana na neno VUTA HISIA ZAKO!.yaani unalazimishwa kuvuta hisia!?naudhika sana.mia
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 870 Oct 8, 2011 #2 kwani wamesema vuta hisia za mapenzi?
M Mussa2000 Senior Member Jul 13, 2011 168 32 Oct 8, 2011 #3 nadhani kiukweli soft drinx huwaga hazipotezi mawazo labda zile ngumu kumeza zenye color ya h2o,mia.
G geophysics JF-Expert Member Nov 1, 2010 904 166 Oct 8, 2011 #4 poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa..
poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa..
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Oct 8, 2011 #5 piga kitu BACARD mbuzi nusu then kulaaala
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 8, 2011 Thread starter #6 geophysics said: poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa.. Click to expand... umeona eeh..!!.mia
geophysics said: poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa.. Click to expand... umeona eeh..!!.mia
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 8, 2011 Thread starter #7 valid statement said: kwani wamesema vuta hisia za mapenzi? Click to expand... kumbe ni kuvuta hisia za nini?mia
valid statement said: kwani wamesema vuta hisia za mapenzi? Click to expand... kumbe ni kuvuta hisia za nini?mia
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 8, 2011 Thread starter #8 Mussa2000 said: nadhani kiukweli soft drinx huwaga hazipotezi mawazo labda zile ngumu kumeza zenye color ya h2o,mia. Click to expand... kuzugia.mia
Mussa2000 said: nadhani kiukweli soft drinx huwaga hazipotezi mawazo labda zile ngumu kumeza zenye color ya h2o,mia. Click to expand... kuzugia.mia
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 8, 2011 Thread starter #9 mikatabafeki said: piga kitu BACARD mbuzi nusu then kulaaala Click to expand... hahahaaa...!!mkuu hilo tumbo la kuingia mbuzi nusu likoje?au nusu kilo?..umentisha sana.mia
mikatabafeki said: piga kitu BACARD mbuzi nusu then kulaaala Click to expand... hahahaaa...!!mkuu hilo tumbo la kuingia mbuzi nusu likoje?au nusu kilo?..umentisha sana.mia