Vuta hisia zako..

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,560
Reaction score
62,126
ni jioni,umemmiss umpendae,unaamua kwenda sehemu kupata soft drink ili upoteze mawazo na mda.unafungua kinywaji chako ndani ya kizibo unakutana na neno VUTA HISIA ZAKO!.yaani unalazimishwa kuvuta hisia!?naudhika sana.mia
 
nadhani kiukweli soft drinx huwaga hazipotezi mawazo labda zile ngumu kumeza zenye color ya h2o,mia.
 
poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa..
 
poor marketing techniques...ndo tatizo la maafisa masoko wa bongo...hawafikirii upande wa pili wa vitu wanavyoweka kama kutangaza au kuuza bidhaa..

umeona eeh..!!.mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…