Kwa mara ya kwanza kabisa nimekubali kuamini kuwa, tatizo liliopo Zanzibar sio Muungano bali ni dini na wanatumia muungano kama kigezo. Mimi ni muislamu lakini nalipongeza Jeshi kwa kutoa kibano kwa wafanyaji fujo usiku huu huko mjini Zanzibar.
Jumuiya ya UAMSHO itabidi ipigwe marufuku kabisa kwanza inapotosha wananchi ili kufikia malengo yake.
Katika ripoti nilizozipata mpaka hivi sasa ni kuwa wazanzibari ambao obviously ni waislam wenzangu wameenda kuchima moto kanisa moja pale mjini. Kitendo hichi nimekichukia kwa sababu kinaudhalilisha uislam na kufanya uonekane ni dini yenye wafuasi wajinga kabisa.
Katika dini ya uislam tumefundishwa kuheshimu dini za wenzetu, lakini sasa wamevuka mipaka hata mungu wanampinga! Sio jambo la ustaarabu kabisa na kama wamo waislam humi watakaochangia, nawapa LIVE yoyote atakayesapoti kitendo hicho ni mjinga na haijui dini! Katika historia ya mtume saw sijawahi kuona sehemu ambayo mtume alivamia tu wakiristo au mayahudi na kuwachomea moto Nyumba zao za ibada!
MAKANISA YAHESHIMIWA KAMA VILE WEWE MUISLAM UNAVOTAKA MSIKITI UHESHIMIWE! Leo hii lau kama ungeskia msikiti umechomwa moto na wakiristo mungekuwa na hasira sana, basi na hai wakiristo na wao wana hasira ivo ivo! HESHIMA NI KITU CHA BURE!
TATIZO LA WAZANZIBARI NINELIGUNDUA SIO MUUNGANO BALI NI UDINI. Na watu wanaburuzwa tu na iyo UAMSHO, na ndio maana wanafunzi wa zenji wapiga drift ya 360 katika mitihani yao
Kanisa lililochomwa moto
Gari la askofu lililochomwa moto
Jumuiya ya UAMSHO itabidi ipigwe marufuku kabisa kwanza inapotosha wananchi ili kufikia malengo yake.
Katika ripoti nilizozipata mpaka hivi sasa ni kuwa wazanzibari ambao obviously ni waislam wenzangu wameenda kuchima moto kanisa moja pale mjini. Kitendo hichi nimekichukia kwa sababu kinaudhalilisha uislam na kufanya uonekane ni dini yenye wafuasi wajinga kabisa.
Katika dini ya uislam tumefundishwa kuheshimu dini za wenzetu, lakini sasa wamevuka mipaka hata mungu wanampinga! Sio jambo la ustaarabu kabisa na kama wamo waislam humi watakaochangia, nawapa LIVE yoyote atakayesapoti kitendo hicho ni mjinga na haijui dini! Katika historia ya mtume saw sijawahi kuona sehemu ambayo mtume alivamia tu wakiristo au mayahudi na kuwachomea moto Nyumba zao za ibada!
MAKANISA YAHESHIMIWA KAMA VILE WEWE MUISLAM UNAVOTAKA MSIKITI UHESHIMIWE! Leo hii lau kama ungeskia msikiti umechomwa moto na wakiristo mungekuwa na hasira sana, basi na hai wakiristo na wao wana hasira ivo ivo! HESHIMA NI KITU CHA BURE!
TATIZO LA WAZANZIBARI NINELIGUNDUA SIO MUUNGANO BALI NI UDINI. Na watu wanaburuzwa tu na iyo UAMSHO, na ndio maana wanafunzi wa zenji wapiga drift ya 360 katika mitihani yao
Kanisa lililochomwa moto
Gari la askofu lililochomwa moto