Vurugu za polisi mpaka wa Sirari

Vurugu za polisi mpaka wa Sirari

Generalkaduma

Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
20
Reaction score
5
Polisi wameua raia, Kuna fujo kubwa sana inaendelea hapa sirari kati ya polisi na raia.
Polisi wamemuua kijana mmoja anayeitwa Tandika Ryoba Moserega wananchi wamechachamaa ni hapa sirari mpakani na Kenya.
 
Wapigwe tu maana tumechoka. Kama wameuwa nao wauawe tu!
 
Mbona taarifa hajakamilika, Uzi wako mzuri lakini tujuze zaidi
 
Mkuu habari haijajitosheleza:chanzo cha vurugu, hatua zilizochukuliwa na pande husika, kwa nini raia wafanye vurugu, kwa nini polisi wapige raia, nk. Tunaomba taarifa zaidi.
 
Raia wema wanachukizwa sana endapo Polisi atauawa. Na hii ni dumia nzima. Hivyo hivyo kwa kuuwawa raia.
Ila kwa hapa kwetu imekuwa kawaida kwa Polisi kuua raia bila sababu na mambo yanakwisha kimya kimya. Kesi ngapi za Polisi kuua zimezimwa hata hakuna taarifa ikiwepo ya Mwangosi ambayo ilikuwa inafuatiliwa kwa karibu sana?
 
Imekwishakuwa mazoea kusikia jeshi la polisi kutumia nguvu kupita kiasi,juzi nimesikia wamechana makalio ya wanawake wa khanga moko kwa risasi huko kinondoni!Wakati uwezo walikuwa nao wakumuweka mahabusu mtuhumiwa bila kutumia risasi kwa mwanamke!! Ah,lakini tutafanzaje kama wanatekeleza amri ya bosi wao?(wapigwe tu)
 
Mkuu siku nyingine tulia utoe taarifa kamili.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Appreciation is the best prayer,
Yupo kwenye vurugu, shukuru hata kwa hii taarifa ya awali.
ninao uhakika ataleta update baadae hata kama si na yeye!
 
Raia wema wanachukizwa sana endapo Polisi atauawa. Na hii ni dumia nzima. Hivyo hivyo kwa kuuwawa raia.
Ila kwa hapa kwetu imekuwa kawaida kwa Polisi kuua raia bila sababu na mambo yanakwisha kimya kimya. Kesi ngapi za Polisi kuua zimezimwa hata hakuna taarifa ikiwepo ya Mwangosi ambayo ilikuwa inafuatiliwa kwa karibu sana?
kuna lipolisi limoja limembaka bibi kizee wa watu hapa Mwanga Kilimanjaro na Bibi watu amefariki kwenye tukio la kubakwa lakin polisi wanaizima kesi kimya kimya
 
Polisi hawawezi kufanya kosa la kuuwa raia hata siku moja..Huyo muhalifu na lazima ashuhulikiwe
Kujadili jambo na watu wenye akili matope inataka moyo sana. Vinginevyo unaweza jikuta nawe unakuwa kama yeye. Tafuta tiba
 
Polisi wamemuua kijana mmoja anayeitwa Tandika Ryoba Moserega wananchi wamechachamaa ni hapa sirari mpakani na Kenya.
 
Back
Top Bottom