Polisi wamemuua kijana mmoja anayeitwa Tandika Ryoba Moserega wananchi wamechachamaa ni hapa sirari mpakani na Kenya.
kamanda tunasikia john heche mwkt bavicha ameishaingia area?
Polisi hawawezi kufanya kosa la kuuwa raia hata siku moja..Huyo muhalifu na lazima ashuhulikiwe
Bado wewe......
Utanza wewe jambazi
Kujadili jambo na watu wenye akili matope inataka moyo sana. Vinginevyo unaweza jikuta nawe unakuwa kama yeye. Tafuta tiba
acha bangi zinakuharibu we fa.la.Wapigwe tu maana tumechoka. Kama wameuwa nao wauawe tu!
Polisi wamemuua kijana mmoja anayeitwa Tandika Ryoba Moserega wananchi wamechachamaa ni hapa sirari mpakani na Kenya.
Hadi sasa walikufa wamefika wawili