the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 760
- 920
Ndio mkuu ametulea wengi sana kakaMama lelo mke wa mkemia...haaha
Ndio mkuu ametulea wengi sana kakaMama lelo mke wa mkemia...haaha
Bila kumsahau Mama Aruu alikuwa ana tuuzia kachumbari tuna weka kwenye kandeNdio mkuu ametulea wengi sana kaka
Daah huyu mwamba aliwahi kutubamba kombo kwenye mbege.🤣🤣Lobilo over
Wengi mlitupwa Minaki, wavuta bangi mlijaa sana Tambaza.Nikikumbuka ni ujinga tu,Tambaza vs Azania....tukapigwa suspension mwaka mzima wa mwaka uliofuata tukaripoti shule za bweni tena za huko mbali kabisa,vijana kibao walishindwa kuendelea na shule,maana shule za karibu zote zilikatazwa kupokea wanafunzi kutoka Tambaza..
Vp siku ile ya vita ulikuwa wapi boss wanguNdio mkuu ametulea wengi sana kaka
Kinachoonekana kuishi uko ni njia rahisi ya kupiga hela ata hivyo wengine awana time nako....!Usitegemee vetting.
File lako liko blacklisted
Acha tu nilikuwa na kazi ya kubeba ndoo za maweVp siku ile ya vita ulikuwa wapi boss wangu
wazee wa P erosion, watu wabady sana mlikula mihogo ya mama jamila na jamila mkamlaWengi mlitupwa Minaki, wavuta bangi mlijaa sana Tambaza.
Kisa mademuNikikumbuka ni ujinga tu,Tambaza vs Azania....tukapigwa suspension mwaka mzima wa mwaka uliofuata tukaripoti shule za bweni tena za huko mbali kabisa,vijana kibao walishindwa kuendelea na shule,maana shule za karibu zote zilikatazwa kupokea wanafunzi kutoka Tambaza..
Hii imenisisimua, walikua zaidi ya magaidi hakisitaki kukumbuka nyakati zile, hasa maiv ya yule mama na sauti ya mkuu wa wilaya akitangaza kifo cha mshkaji alisema hivi, 'mtoto akililia wembe mpe ajikate, vijana mmeenda kuchezea wembe mmejikata mmempoteza mwenzenu kwa upumbavu wenu' RPC utawaletea maiti ya mwenzao waje waione kabla ya mazishi yake' aisee ni bahati familia iliona si busara, nyakati zote mwili ulikua kama umepata ganzi hivi.
.
.
miaka michache imepita sasa nimegundua mwanaume akikaa mwenyewe kwa muda mrefu anakua na hasira za ajabu sana, dogo aliefariki alipigwa na slesha iliyonolewa kama jambia.. huku wa lyamungo amechinjwa kwa seng'enge.
.
.
kisa uhasama ambao tumeukuta toka kitambo, pale nahisi umachame na ukibosho umo ndani ya zile shule, umbwe tuliona ufahari sana kukuta viti vya shule ya lyamungo tumeviiba na tunavisomea.
.
.
mkuu wa wilaya akasema nimeskia skia kuna viti vinasababisha haya sasa WANAUME LETENI KITI KIMOJA TUWAKABIDHI KAMA ALAMA YA USULUHISHI, likapikwa pilau shule tule na lyamungo, wakaja viongoz wa lyamungo wadau wanataka watie sumu kwenye chakula, mara wawafungie ndani ya darasa wapige ambush,
.
.
unapigwa wimbo wa shule mtu anaimba kwa hisia, kama vile anaitetea nchi yake!
.
.
Mr financial asante kwa kumbukumbu, apumzike kwa Amani mwana Umbwe mwenzetu na Mwanalyamungo, Mola atusamehe kwa dhambi zile, ilikua ni mbaya sana yale mambo!
Darasa la kina Cosovo lilikua la moto sana..yule mwamba alifukuzwa shule akiwa kwenye mitihani yake ya form six! O level kulikua na Mudy, Max..etc.Enzi zetu kuna muhuni alikuwa anajiita Kosovo.
Duh kakasitaki kukumbuka nyakati zile, hasa maiv ya yule mama na sauti ya mkuu wa wilaya akitangaza kifo cha mshkaji alisema hivi, 'mtoto akililia wembe mpe ajikate, vijana mmeenda kuchezea wembe mmejikata mmempoteza mwenzenu kwa upumbavu wenu' RPC utawaletea maiti ya mwenzao waje waione kabla ya mazishi yake' aisee ni bahati familia iliona si busara, nyakati zote mwili ulikua kama umepata ganzi hivi.
.
.
miaka michache imepita sasa nimegundua mwanaume akikaa mwenyewe kwa muda mrefu anakua na hasira za ajabu sana, dogo aliefariki alipigwa na slesha iliyonolewa kama jambia.. huku wa lyamungo amechinjwa kwa seng'enge.
.
.
kisa uhasama ambao tumeukuta toka kitambo, pale nahisi umachame na ukibosho umo ndani ya zile shule, umbwe tuliona ufahari sana kukuta viti vya shule ya lyamungo tumeviiba na tunavisomea.
.
.
mkuu wa wilaya akasema nimeskia skia kuna viti vinasababisha haya sasa WANAUME LETENI KITI KIMOJA TUWAKABIDHI KAMA ALAMA YA USULUHISHI, likapikwa pilau shule tule na lyamungo, wakaja viongoz wa lyamungo wadau wanataka watie sumu kwenye chakula, mara wawafungie ndani ya darasa wapige ambush,
.
.
unapigwa wimbo wa shule mtu anaimba kwa hisia, kama vile anaitetea nchi yake!
.
.
Mr financial asante kwa kumbukumbu, apumzike kwa Amani mwana Umbwe mwenzetu na Mwanalyamungo, Mola atusamehe kwa dhambi zile, ilikua ni mbaya sana yale mambo!
Yap..tulikuwa wajinga kweli, both lyamungo umbwe wote tulikuwa wapumbavuDah, halafu mtasingizia zilikua bangi wajinga nyie
Haikuwa May ilikua Tarehe 21&22 August. R.I.P Ayubu Talaka.Dah aisee umenikumbusha mbali sana kipindi hicho nilikua form 3. Ila kuweka kumbukumbu vizuri hiyo ilitokea 26 May 2009 na siyo August. Na kuhusu huyo aliyezungushiwa seng'enge sidhani kama alifariki maana tungetangaziwa shuleni. Nakumbuka huyo mwanafunzi wa Umbwe aliyefariki alipigwa kama mwizi uwanja A pale. Na hiyo siku ilibidi tukeshe tukiwasubiria Umbwe waje. Dah ile siku ilikua kama jeshi sipatii picha Umbwe wangekuja usiku ule ingekuaje maana tulijiandaa kama jeshi. Tulikusanya mawe, mafyekeo na mipini. Tulijigawa magroup matatu geti kubwa, geti dogo na katikati ya uwanja. Yaana nia ilikua Umbwe wakitokea sehemu yoyote wanapigika na tulipeana signature kabisa ukiulizwa "Nyeto" unajibu "Ujinga" ukishindwa kujibu unakula kichapo maana utakua sio wa Lyamungo. Dah sitaisahau ile siku, ni stori ndefu kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app