Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Leo kwenye uwanja Wa Kambarage kulikuwa na mechi ya Daraja la kwanza kati ya Stand Utd ya Shinyanga inayoongoza kundi kwa point 13 dhidi ya Kanembo Jkt ya Kigoma yenye point 12. Vurugu zimetokeoa baada ya refa kutoa penalt dakika za mwisho baada ya mabeki wa Kanembo Jkt kunawa mpira. Baada ya kuzongwa na wachezaji wa Jkt Refa alianza kurusha masumbwi kwa wachezaji kitendo kilichosababisha vurugu, na mpira kuishia happ