Duh arumeru mvua inatoka wapi? 2po msitu wa tembo naona mvua kwa mbali tengeru na milimani,2mejizatiti ktk patroo kwani wakija na moto 2na miguu ya kuku ilo2lia
heshima kwa vijana kwa kusimamia mabadiliko.BREAK NWS VIJANA WA CCM WAFANYA VURUGU KITUO CHA EMBASENI VIJANA WA CDM WAWADHIBITI VIKALI SANA
Hayo yametokea katika kituo cha embasseni,ambapo vijana hao Wa CCM walikuwa kwenye gari walipofika tu,wakaanza kuwarushia mawe vijana makini wa CDM wanaolinda kura kituo hicho,vijana hao walikuwa wapo na dada mmoja ambaye alikuwa anataka kuingiza kitu kupitia mmoja wa wasimamizi wa kituo,lakini vijana wa CDM waliwadhibiti vikali mpaka ffu walipofika eneo hilo
Ngilisho Sunrise Radio anaripoti:
Kituo Embasema kata Kikatiti:
Hali ni tete kabisa, gari lilokuwa na katibu mkuu wa ccm mkoa wa arusha Rosemerry Chatanda lashambuliwa na wafuasi wa cdm gari hilo lilikuwa linalazimisha kuingia ndani ya kituo hicho.
Ni huyu mama mnafiki katibu ccm Mary Chatanda, alijifanya amepata ruhusa ya RPC Andengenye, bt RPC kamkana na kabebwa mzobezobe na FFU, na ana bahat sn maana makamanda tayari washaanza kutoa tifu, AIBU YAO MAGAMBA.
weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Aaamennn. Tulianza na Mungu na tunamaliza na MunguEe Mwenyezi Mungu simamia CHADEMA, wanyooshee mkono wako wa baraka, waepushe na hila za shetani ccm!!
Semeni "AMENI"