hamphrey kyando
Member
- Nov 29, 2015
- 22
- 5
Inaonekana ndugu unaelewa kwa nn huyo mh kunti kapita apo tunaomba utuambie plz koz inaonekana umefurahia yy kuligwa na wakati hapo na barabarani muongozo plzWakati mwingne BUSARA huwa ni jambo jema sana......Ukifatilia kiundani zaidi unaweza kuta huyo mbunge kachokoza mwenyewe kwa kuingia himaya ya CCM na hizo sare kuchokoza tu wenzake....ili kitokee kilicho mtokea ionekane ni uonevu ili mpate pakusema ya kuwa mmeonewa....
Ni upuuzi tu kumtetea huyo mbunge kwenye hili....I BELIEVE KABSA ALIKUWA NA NJIA MBADALA YA KUPITA ila kaamua tu makusudi kuchokoza.....
Hiki halicho kifanya hakuna TOFAUTI na SHABIKI wa simba kupita jukwaa la YANGA.....kwamwe hauwezi pita salama.....