Binafsi nimeangalia Bunge. Sijaona vurugo zozote
Kwani wewe hua una macho ?
Binafsi nimeangalia Bunge. Sijaona vurugo zozote
Ni kweli hata mimi sijaona Vurugo.
Umesha hukumu kuwa ninaunga mkono kutojadiliwa! Nimesahihisha andiko kuwa amekataa kujadiliwa. Naamini angeruhusu kamati ya uongozi wa bunge ikae kuona uwezekano wa kujadliwa leo kusingetokea yaliyotokea. Tatizo la Makinda ni speed ndogo ya kufikiri.
Baada ya Mbatia kuleta hoja ya dharura juu nguvu iliyotumiwa na polisi kwenye maandamano ya CUF jana tarehe 27 January ili ijadiliwe na wabunge kama hoja ya dharura, spika Makinda aliamuru serikali ilete majibu kesho ndio ijadiliwe.
Wabunge walisimama kushinikiza hoja ijadiliwe lakini Makinda aliendelea na msimamo wake wa hoja kujadiliwa kesho baada ya Serikali kuleta majibu, hapo ndipo sintofahamu ilipozidi na kuleta kutoelewana kati ya wabunge wa Upinzani na Spika. Ilibidi spika Anna Makinda kuahirisha bunge mpaka kesho lakini baadae akabadili na kusema saa kumi jioni leo hii.
Kwa habari zaidi, soma=>Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28
Chikawe na IGP Mangu wanapaswa kujua kuwa amani ya nchi hii haiwezi kusimamiwa kwa marungu na vitisho vya kuwafunga watu mahabusu!!Kwa Hali iliyopo naona Sasa muda wa Mathias Chikawe kuondoka umefika
Maagizo waliyoyatoa kwa ma RPC kuwa Viongozi wapigwe sasa yanamgeuka waziri
Hili swala linahusu hata huyu IGP haiwezekani mwenyekiti wa taifa CUF kudhalilisha na polisi wa ccm kwa kutumia ubabe huu uonevu ndo utakuwa umefikia mwisho sasa mbona kwenye maandamano ya ccm hatujawahi kusikia mabomu yamepigwa kila siku UPINZANI tuu kwa nini upinzani tuuu.Kwa Hali iliyopo naona Sasa muda wa Mathias Chikawe kuondoka umefika
Maagizo waliyoyatoa kwa ma RPC kuwa Viongozi wapigwe sasa yanamgeuka waziri
kamati ikutane ili iweje???? hivi ile kanuni ya bunge ya 47 ilivyosomwa na mh. mbatia umeielewa kweli! Spika karizika ile ni hoja ya dharura kweli, na kanunu inamtaka kuhahirisha shughuli zote kwa muda huo kuruhu mjadala ,sasa yeye kafanya nini??? ebu fungueni hizi bongo zenu jamani ahaha! mnachosha
pia lazima watambue hakuna AMANI BILA HAKI.Chikawe na IGP Mangu wanapaswa kujua kuwa amani ya nchi hii haiwezi kusimamiwa kwa marungu na vitisho vya kuwafunga watu mahabusu!!
Hata hasingekuwa Lipumba, huuu ni ujinga wa kipumbavu uliyofanywa na polisi kwa mwanadamu mwenye utu wakeni demokrasia nimeipenda hii, alichotendewa Lipumba ni utovu wa adabu lazima jambo lifanyike IGP anatakiwa kujipima. Lipumba ni kiongozi mkubwa chama chake kiko madarakani ndio kusema ni wa level nyingine, kumgusa tu walitakiwa wawaze mara mbili. lazima serikali itoa tamko imemchukulia hatua gani IGP au yule RPC au kiongozi aliyekuwepo kwenye tukio sio swala la mjadala.
apongezwe JK kwa kusimamia demokrasia Tz.
NB: hiki walichoonyesha wabunge ndiyo busara inayotakiwa sio kama walivyoboronga BMK
Ebu jibu hayo maswali acha kukwepa mkuuUko so judgemental!
Hili bunge lina matatizo kuanzia spika hadi wabunge wenyewe.Bunge lina agenda ambazo zilipangwa kujadiliwa.Sasa linatokea tukio mtaani wanaahirisha na kuacha ajenda kuhamia matukio ya barabarani.Waliokamatwa watapelekwa mbele ya vyombo vya sheria kutakakojulikana kama CUF walikosea au la.Bunge kiherehere chake cha nini? wanajadili nini wakati suala liko mikononi mwa vyombo vya sheria?
Bunge limekuwa linaanza kwenda na matukio badala ya ajenda zilizowapeleka pale.Hizi zote ni mbinu chafu za kutaka kuzidisha siku na kula posho zitokanazo na kodi za wananchi.
Hili bunge hovyo kabisa heri uchaguzi uje upesi wachaguliwe wabunge wengine wapya kuliko hawa wa sasa.LO.
Ukawa wananza endesha bunge kwa style ya matukio
So hata wa hupande wachama tawala wakileta jambo la zarura lisijadiliwe?