Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,495
- 113,592
Wanabodi,
Kwa kuanzia, japo siungi mkono vurugu za aina yoyote, lakini naunga mkono kwa asilimia 100% kilichotokea bungeni!.
Zile fujo ni matokeo tuu na sio chanzo!. Nimewasikia baadhi wa wabunge na wachangiaji kadhaa, wakilaani matokeo ambayo ni vurugu, ila hawajiulizi chanzo!.
Kwa vile chanzo ni Naibu Spika, sababu ni "kupinga unyanywasaji na udhalilishwaji wa wazi kwa KUB", vurugu zilizofuatia ni matokeo tuu ya provocation "actions under provocation" ni defence muafaka hata mbele ya sheria!.
Mimi Pasco wa JF nasisitiza kuwa "Wapinzani, did the right thing!". Hiki ni kitendo cha kishujaa cha kustahili kupongezwa na sio kulaaniwa!.
Kitendo hicho mimi nakiita ni "Blessing in disguise!", japo kwa jicho la juu juu ni kitendo kibaya, kiovu na cha kulaaniwa!, ila ukikitazama "kwa jicho la tatu", ni kiashiria cha kwanza cha mwanzo mzuri wa a "United We Stand!" na mwisho wa "Divided we Fall!".
Tangu kuasisiwa kwa vyama vingi nchini, tukio la jana ndilo la kwanza ambapo, the "giants!" wameacha tofauti zao na kusimama pamoja against "oppressors" ambapo msimamo huu ukiendelea, na mshikamano huu, kuendelezwa hadi 2015, wakafanikiwa kumsimamisha mgombea mmoja strong!, 2015 for sure bila kumunyunga maneno wala kupepesa macho!, CCM inakwenda chini!, just like the fall of Goliath!.
Hivyo huu unaweza kabisa kuwa ndio mwanza wa kwanza wa kweli wamwisho wa CCM!.
Big Up Wapinzani!.
Pasco.
NB. Pasco wa jf, ni mwanachama wa chama cha siasa!, ila anaandika independently with objetivity, impartiality and balance, free from his political affiliation.
Kwa kuanzia, japo siungi mkono vurugu za aina yoyote, lakini naunga mkono kwa asilimia 100% kilichotokea bungeni!.
Zile fujo ni matokeo tuu na sio chanzo!. Nimewasikia baadhi wa wabunge na wachangiaji kadhaa, wakilaani matokeo ambayo ni vurugu, ila hawajiulizi chanzo!.
Kwa vile chanzo ni Naibu Spika, sababu ni "kupinga unyanywasaji na udhalilishwaji wa wazi kwa KUB", vurugu zilizofuatia ni matokeo tuu ya provocation "actions under provocation" ni defence muafaka hata mbele ya sheria!.
Mimi Pasco wa JF nasisitiza kuwa "Wapinzani, did the right thing!". Hiki ni kitendo cha kishujaa cha kustahili kupongezwa na sio kulaaniwa!.
Kitendo hicho mimi nakiita ni "Blessing in disguise!", japo kwa jicho la juu juu ni kitendo kibaya, kiovu na cha kulaaniwa!, ila ukikitazama "kwa jicho la tatu", ni kiashiria cha kwanza cha mwanzo mzuri wa a "United We Stand!" na mwisho wa "Divided we Fall!".
Tangu kuasisiwa kwa vyama vingi nchini, tukio la jana ndilo la kwanza ambapo, the "giants!" wameacha tofauti zao na kusimama pamoja against "oppressors" ambapo msimamo huu ukiendelea, na mshikamano huu, kuendelezwa hadi 2015, wakafanikiwa kumsimamisha mgombea mmoja strong!, 2015 for sure bila kumunyunga maneno wala kupepesa macho!, CCM inakwenda chini!, just like the fall of Goliath!.
Hivyo huu unaweza kabisa kuwa ndio mwanza wa kwanza wa kweli wamwisho wa CCM!.
Big Up Wapinzani!.
Pasco.
NB. Pasco wa jf, ni mwanachama wa chama cha siasa!, ila anaandika independently with objetivity, impartiality and balance, free from his political affiliation.