mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
Ukweli lazima usemwe,,Mkuu wachawi huaga wanaanza kama hivi.
Asa mwenzako akikosa mkataba wewe unafaidika na nini.
Au uliwai kuingia kiwanjani bila ya jez ya Simba.
Jezi za Simba hazina ubora..