Hii menyu si ya kitoto...nimekumbuka mbali sana, sehemu inaitwa kakola Tabora 80s. Na nikadhani hii style ni tabora tu. Sie tulikua tunashushia uji wa chumvi hii
, wenzetu wanalalamika sukari
Ila nimesahau jina la hiyo kitu kama boga...hapa dar yanapatikana wapi wakuu