Sisi wapare tuna akili za darasani kuliko wachaga

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,415
30,925
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.

Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.

Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.

Vumwe vwa Vaathu.
 
Hahahaha Hahahaha Mwambie Huyoooo mwambie anatufanganya Huyoooo Huyoooo
Bro wapare ni wasambaa waliokimbia na chief kimweri kutoka usambara na kukimbilia Same. Walikimbia wajerumani.
Huo u Israel mmeupata wapi?

#YNWA
 
Yaeza kuwa ni kweli ila ilio kweli zaidi ni kuwa pisi zenu wote nyuma wanalingana

😂😂 ni joke's tu mandhee
 
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.

Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.

Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.

Vumwe vwa Vaathu.
Asili ya Wapare ni Israel??
Utakuwa umedanganywa chief superbug!
 
Back
Top Bottom