Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,415
- 30,925
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.