Vumbi LA Kongo ni balaaah, Nimekoma

We muongo mkuu we unadhani ze diki ikisimama siku 3 mfululizo kuna usalama hapo watu watakuzika hilo moja, pili kwa ushuhuda toka kwa wanaotumia huyo mkongoman huwa wanasema halina madhara hata usipomchukuchua mtu, ni kazi yake ni mpaka umtafune mtu ndio inawasaidia kuchelewa kukojoa sijui, labda uwe umekunywa ma viagra..

Ama upo kwenye promo za biashara nini mkuu nisikuharibie kipato

Sent using my nokia ya tochi
 
Umedinda siku ya pili mfululizo lakini unagundua hata demu huna na huna hata hela ya kununua qummer.
images(1).jpeg
 
We muongo mkuu we unadhani ze diki ikisimama siku 3 mfululizo kuna usalama hapo watu watakuzika hilo moja, pili kwa ushuhuda toka kwa wanaotumia huyo mkongoman huwa wanasema halina madhara hata usipomchukuchua mtu, ni kazi yake ni mpaka umtafune mtu ndio inawasaidia kuchelewa kukojoa sijui, labda uwe umekunywa ma viagra..

Ama upo kwenye promo za biashara nini mkuu nisikuharibie kipato
Upo sahihi
Sent using my nokia ya tochi
 
.......Jamaa kasimama Leo siku ya 3....imenilazimu kuvaa Jeans bila kupenda... Kama mishale vile inachoma kwa Bakari kichwa..

Nashinda naloweka bakari kichwa kwenye beseni la maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza inaonyesha umehadithiwa kuhusu hilo vumbi kisha unaleta kama ushuhuda wa uongo. Hilo vumbi haliongezi ashki zozote nikimaanisha kuingeza nguvu za kiume zaidi ya kuufanya uume uwe na ganzi ndo maana unakusaidia kubaki uume ukiwa na nguvu kuendelea na tendo kwa muda mrefu. Usilete promo kwa vitu usivyovijua mkuu
 
Back
Top Bottom