Kuna uwezekano mkubwa vuguguvu la MAPINDUZI linaloendelea katika nchi za kiarabu kuibukia nchini tanzania.
Sijui kama kwa tanzania litafanikiwa au la.
Wachuguzi wa mambo ya siasa wanafikiri kuwa uongozi wa rais kikwete utakomea njiani.
Pia inasemekana kuwa watanzania wengi wako tayari kujiunga na vuguvugu hilo kutokana na usanii wa serikali ya kikwete kukua siku hadi siku.serikali ya kikwete haijali maisha ya mwanchi wa kawaida.
Mwasemaje wana jamii?
Sijui kama kwa tanzania litafanikiwa au la.
Wachuguzi wa mambo ya siasa wanafikiri kuwa uongozi wa rais kikwete utakomea njiani.
Pia inasemekana kuwa watanzania wengi wako tayari kujiunga na vuguvugu hilo kutokana na usanii wa serikali ya kikwete kukua siku hadi siku.serikali ya kikwete haijali maisha ya mwanchi wa kawaida.
Mwasemaje wana jamii?