VPN gani nzuri niweze tumia net bure

VPN gani nzuri niweze tumia net bure

nimejalibu Nani kuiga hiyo mambo but ap inaniambia niroot simu kwanza je nikiroot ntafanikiwa
 
nahitaj kuelimishwa juu ya kuroot cm yangu,model huawei y300-100-001

Ku root hizo simu za Tecno nakushauri tu uache maana huwa zinazingua na unaweza kukuta imeharibika na unaitaji kuirudisha huko Tigo na ukajikuta wanakwambia hauna warranty kumbe umesahau ku unroot ambayo ni another story

Kama sio ya tigo basi waweza kujaribu ku root lkn google haya maneno "Root y300-100-001" au ktk JF hapo juu search hayo maneno kuna threaad humu
 
Mkuu nimesoma hayo maelezo so naboot kwanza then ndo naingia kwenye hio odin ungeniwekea step by step kesho ningemaliza kazi

mkuu situmii simu kama yako hivo japo zimefanana majina na mm nimeroot mwaka umepita ila ukisoma google "how to root galaxy grand gt..." utapata tutorial mpaka yenye picha
 
Back
Top Bottom